Hawa watu sasa wamekubali kuwa Corona imeisha?

Kwenye hizo data za John Hopkins umejiridhisha kujua nchi ngapi katika zote zimekuwa na ujasiri wa kuhuisha takwimu zao kwa wakati?

Niangalipo sasa hivi kwenye link ya hiyo hospitali, duniani kote kume ripotiwa vifo vipya Mexico, Bolivia, S. Korea na Australia tu.

Vipi kama au ni kama kwetu wengine nao jalada la Corona wamekwisha funga?

Au takwimu zako unazokokotoa assumption kubwa ni kuwa nchi isipotoa takwimu basi waathirika au vifo huko hamna?

Nani asiyejua kuwa pana ufichaji mkubwa wa takwimu. Hili si la mzee baba peke yake. Mbona hata huko tunakosoma hawajafa watu au wamekufa 5 tu ni dalili za utambuzi duni, magumashi au nia ovu ya kuficha takwimu tu?

View attachment 1513368
Wapi pana ufichaji wa takwimu? Tanzania?

Suala la takwimu lina utata sehemu nyingi tu.

Kuanzia China, Marekani, Tanzania, na kwingineko.

Uingereza majuzi wamesitisha kutoa takwimu kwa sababu ya huo utata.

Takwimu za Marekani nazo zinatia shaka sana.

Za China ndo kabisa...

Bottomline, Tanzania haijaathirika kivile.

Hata Marekani nahisi takwimu zao zimejaa siasa kwa sababu huu ni mwaka wa uchaguzi na baadhi ya watu hawampendi Trump na hivyo kutumia takwimu mbaya ili kumfanya apoteze wafuasi wake.

Corona Marekani itaisha tarehe 3 Novemba, win or lose...
 
Wapi pana ufichaji wa takwimu? Tanzania?

Suala la takwimu lina utata sehemu nyingi tu.

Kuanzia China, Marekani, Tanzania, na kwingineko.

Uingereza majuzi wamesitisha kutoa takwimu kwa sababu ya huo utata.

Takwimu za Marekani nazo zinatia shaka sana.

Za China ndo kabisa...

Bottomline, Tanzania haijaathirika kivile.

Hata Marekani nahisi takwimu zao zimejaa siasa kwa sababu huu ni mwaka wa uchaguzi na baadhi ya watu hawampendi Trump na hivyo kutumia takwimu mbaya ili kumfanya apoteze wafuasi wake.

Corona Marekani itaisha tarehe 3 Novemba, win or lose...
Unajuaje Tanzania haijaathirika kivile wakati hakuna data?

"Kuathirika kivile" ni nini?

Na kama haijaathirika kivile, unajuaje haitaathirika kivile?
 
Unajuaje Tanzania haijaathirika kivile wakati hakuna data?

"Kuathirika kivile" ni nini?

Na kama haijaathirika kivile, unajuaje haitaathirika kivile?

In the digital age we live in now it’s hard to conceal anything that has a severe negative impact on the masses.

If the situation was that bad, we would have seen it.

We’d have seen hospitals overwhelmed.

There would be death all over the place especially in the slums of Tandale, Magomeni, Manzese, etc.

Evidence of devastation wouldn’t have been hard to find as evidence by the article you brought the other day.

Jana nilikuwa naangalia BBC. Balozi wa China alikuwa ndo mgeni wao.

Wakambana kuhusu wale Uighurs. Kuna videotape imevuja kuhusu mistreatment yao at the hands of the Chinese dictatorship.

Licha ya kwamba hakuna uhuru wa habari huko China, hiyo videotape ime leak.

Tanzania siyo kama China. Kama kweli hali ingekuwa mbaya sana basi ingejulikana tu, thanks to citizen journalists...

 
In the digital age we live in now it’s hard to conceal anything that has a severe negative impact on the masses.

If the situation was that bad, we would have seen it.

We’d have seen hospitals overwhelmed.

There would be death all over the place especially in the slums of Tandale, Magomeni, Manzese, etc.

Evidence of devastation wouldn’t have been hard to find as evidence by the article you brought the other day.

Jana nilikuwa naangalia BBC. Balozi wa China alikuwa ndo mgeni wao.

Wakambana kuhusu wale Uighurs. Kuna videotape imevuja kuhusu mistreatment yao at the hands of the Chinese dictatorship.

Licha ya kwamba hakuna uhuru wa habari huko China, hiyo videotape ime leak.

Tanzania siyo kama China. Kama kweli hali ingekuwa mbaya sana basi ingejulikana tu, thanks to citizen journalists...

Why does the impact need to be severe for action and caution to be needed?

If impact is not severe, but the virus will kill you, as an individual, is caution warranted?
 
Wapi pana ufichaji wa takwimu? Tanzania?

Suala la takwimu lina utata sehemu nyingi tu.

Kuanzia China, Marekani, Tanzania, na kwingineko.

Uingereza majuzi wamesitisha kutoa takwimu kwa sababu ya huo utata.

Takwimu za Marekani nazo zinatia shaka sana.

Za China ndo kabisa...

Bottomline, Tanzania haijaathirika kivile.

Hata Marekani nahisi takwimu zao zimejaa siasa kwa sababu huu ni mwaka wa uchaguzi na baadhi ya watu hawampendi Trump na hivyo kutumia takwimu mbaya ili kumfanya apoteze wafuasi wake.

Corona Marekani itaisha tarehe 3 Novemba, win or lose...

Hoja si kufichwa kwa takwimu. Ndiyo maana katika kurejea takwimu za John Hopkins nimekupa ni nchi nne tu dunia nzima ambazo zilikuwa angalau na ujasiri wa kuweka data mpya za vifo katika kipindi kile. Achilia mbali suala la u sahihi wa data hizo ambalo nalo ni jambo jingine.

Hoja ni kuwa unadadavua namba zipi wakati dunia yote imejikita kwenye data za uongo ambapo sisi ndiyo baba lao?

Kwa maana nyingine dadavuzi zako hapa chini hazisimami na mithili ya gunia tupu.

Yaani kuwa udadavuzi huu ni garbage kwani zimepikwa tokea jalalani:

IMG_20200722_150349_153.jpg
 
We vipi
Corona kutokuwepo sasa haimaanishi kipindi kile haikuwepo..
Halafu acheni kufanya kama Afrika nzima Magufuli peke ake hakuweka lockdown..
Nitajie nchi nyingine zaidi ya Kenya, Uganda, Rwanda, South Africa na Nigeria zilizokuwa na lockdown.
Mocambique, mimi nikiwa ndani ya inchi hiyo.
Mpaka leo Nyusi anaongeza muda wa lock down tu.
Natamani hata ningekua nchini kwangu Tanzania, lakini ndio hivyo tena mipaka imefungwa nasijui lini atafungua.
 
Mocambique, mimi nikiwa ndani ya inchi hiyo.
Mpaka leo Nyusi anaongeza muda wa lock down tu.
Natamani hata ningekua nchini kwangu Tanzania, lakini ndio hivyo tena mipaka imefungwa nasijui lini atafungua.
The fact is nchi ambazo hazijaweka lockdown Africa ni nyingi kuliko zilizoweka
 
Corona IPO lkn haiuwi. Hata jirani zetu IPO lkn haiuwi. Sasa hapa kwetu taarifa rasmi zilizuiwa kutangazwa.

Kutotangazwa na kutokuwapo ni vitu viwili tofauti.

Niseme tu ndjia ya JPM ya kuwatoazwatu hofu ni njia bora kuliko ile inayopelekea watu kuwa na hofu.

Muhimu chain ya tangawizi na limau ni muhimu.
 
Why does the impact need to be severe for action and caution to be needed?

Action was taken and caution was heeded.

If impact is not severe, but the virus will kill you, as an individual, is caution warranted?
Regardless, we should always be cautious anyway, for, life is full of dangers and risks.
 
Action was taken and caution was heeded.


Regardless, we should always be cautious anyway, for, life is full of dangers and risks.
Do you. I will do me.

In the words of Bob Marley "... every man has got the right to decide his, own destiny..."

In the words of Nas "sooner or later we will all see who the prophet is".

Just don't bring the cooties by me.
 
Toka mwanzo na mpaka sasa, msimamo wangu kuhusu hii Corona ni sawasawa na ule wa Rais Magufuli.

Si ajabu pia, kuwa, msimamo wangu waweza kuwa ni mkali zaidi kushinda hata huo wa Rais Magufuli.

Yaani, COVID-19 si hatari kama tulivyoaminishwa. Tumelishwa matango pori.

Jana nilimwona Bernard Membe akienda kuchukua fomu za kugombea urais.

Alipofika hapo ofisini, akasalimiana na mtu kwa kushikana mikono. Sikuona watu wakiwa wamevaa upuuzi wa barakoa. Sikuona watu wakiwa wamekaa mbalimbali.

Wakina mama waliokuwepo walikuwa wakiimba. Inasemekana katika kuimba, vichembe chembe vya mate huwa vinaruka na hivyo kuwezesha kiurahisi maambukizi ya magonjwa mbalimbali.

Kipindi Corona inabamba, hawa watu wa kambi ya upinzani ndo walikuwa mstari wa mbele kumnanga Rais Magufuli kuhusu msimamo wake wa hivyo virusi.

Sasa hebu tazama video hii! Imekuwaje? Hao wapinzani sasa wamekubali kuwa Corona si hatari kivile?

Mpende au umchukie, kiukweli Magufuli kwa misimamo yake lazima umheshimu tu.


Corona ipo ya kutosha hususani hapo Dsm wagonjwa wanafia majumbani Hosptal ndogo ndogo na hata wakifa ndugu hawasemi ni corona huficha siri kwa hofu ya kutengwa na jamii
 
Wapi pana ufichaji wa takwimu? Tanzania?

Suala la takwimu lina utata sehemu nyingi tu.

Kuanzia China, Marekani, Tanzania, na kwingineko.

Uingereza majuzi wamesitisha kutoa takwimu kwa sababu ya huo utata.

Takwimu za Marekani nazo zinatia shaka sana.

Za China ndo kabisa...

Bottomline, Tanzania haijaathirika kivile.

Hata Marekani nahisi takwimu zao zimejaa siasa kwa sababu huu ni mwaka wa uchaguzi na baadhi ya watu hawampendi Trump na hivyo kutumia takwimu mbaya ili kumfanya apoteze wafuasi wake.

Corona Marekani itaisha tarehe 3 Novemba, win or lose...
Toa takwimu acha kuiga mataifa mengine lete takwimu watu wanataka takwimu za Tanzania ni kwa nini mnazificha? Acha visingizio visivyo na mashiko
 
Back
Top Bottom