beberu777
Senior Member
- Feb 28, 2017
- 198
- 200
mi nakaa changanyikeni hakuna huo udongo nyambaaaf huko kwendu kwenye mapunga mapungahivi unapajua changanyikeni palivyo. Pana tofauti gani na hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mi nakaa changanyikeni hakuna huo udongo nyambaaaf huko kwendu kwenye mapunga mapungahivi unapajua changanyikeni palivyo. Pana tofauti gani na hapo
bac tuseme wanaume wa dar wakiwa likizo mkoanimi nakaa changanyikeni hakuna huo udongo nyambaaaf huko kwendu kwenye mapunga mapunga
unataka kuniambia wakina ngosha wameanza huu mchezo?
Kitambo tu mbona, tungetaja majina ila tunaogopa Nissan nyeupe.
Nimenena kikawaida kabisa.Mbona povu jamaa angu na wewe mwanaume wa dar nini!????
Hivi hapo unaona ni Dar? Hapo mbwinfe kabisa,kama siyo Kolomije basi ni Kwema kolele.Wanaume wa Dar hao ndio tabia zao kubebana hivyo wakiwa kwenye fukwee zao.
Watu pori hawajui hata rangi ya udongo wa Dar,hahahabaNina mashaka na mtoa post, sio kila kinachofanyika ni dar, hivi dar kuna udongo mwekundu hivyo? Mambo mengine muongeage ukweli kama ni mikoani mseme tu, msifiche uozo wa mikoani na kusingizia kila kitu dar
kwa hiyo siku hizi jezi ya simba imewekwa rangi za njano mikononi na mabegani ama kweli vyura ni shiiiida
Dar akuna kijana anae vaa kandambili na suruali YA kitambaa tena imepigwa pasi ikanyooka hadi upanga unaonekanahivi unapajua changanyikeni palivyo. Pana tofauti gani na hapo
Kabla yakucomment uwe unasoma habari kwa ufasaha kwanza.Hakuna mahali mtoa mada amesema hapo ni darNina mashaka na mtoa post, sio kila kinachofanyika ni dar, hivi dar kuna udongo mwekundu hivyo? Mambo mengine muongeage ukweli kama ni mikoani mseme tu, msifiche uozo wa mikoani na kusingizia kila kitu dar
اتقوا الله خيث ما كنت، واتبعو هم السيءة الخسنة التمحوها.
Uko sahihi kabisa, but comment za wachangiaji, hivi unajua nina mashaka na mtoa mada kuhusu nini?Kabla yakucomment uwe unasoma habari kwa ufasaha kwanza.Hakuna mahali mtoa mada amesema hapo ni dar
Mkuu hapo ukipaangalia panafanana na dar kwel hata kwa bahat mbaya?Wanaume wa Dar hao ndio tabia zao kubebana hivyo wakiwa kwenye fukwee zao.
Yapo maeneo yana udongo mwekunduNina mashaka na mtoa post, sio kila kinachofanyika ni dar, hivi dar kuna udongo mwekundu hivyo? Mambo mengine muongeage ukweli kama ni mikoani mseme tu, msifiche uozo wa mikoani na kusingizia kila kitu dar
Yataje hayo maenro yenye udongo mwekundu ndani ya Dar.Yapo maeneo yana udongo mwekundu
wore>>>wotehao wore ni yanga wameamua kudhalilisha chama langu
Kwa huo udongo mwekundu hao.lazima wa MKOANIWanaume wa Dar hao ndio tabia zao kubebana hivyo wakiwa kwenye fukwee zao.
sasa kabisa hao wapo likizo ila Ni wa Darbac tuseme wanaume wa dar wakiwa likizo mkoani