GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,518
- 108,793
Wakati idadi ya Marehemu wa Ajali ya Teja Mchomoa Betri Mkoani Mororogo ikizidi Kuongezeka ambapo muda si mrefu Mamlaka ya Hospitali ya Taifa ya Muhimbili imesema kuwa idadi yao imeongezeka na sasa wamefikia 97 nimekutana na Watu Wawili mahala wakifanya Kitendo ambacho bado nakitafakari hadi hivi sasa.
Watu hao Wawili walikuwa Wakibeti na Mmoja wao kasema kuwa kama mpaka Kesho Jumatano idadi ya waliokufa haitofika 100 anatoa Tsh Laki Tano na mwenzake kasema kama kuanzia leo kuna Majeruhi mwingine atakufa nae anatoa Tsh Laki Tano akiwa na maana kwamba hawa 97 ndiyo mwisho na wengine watapona.
Je Kubeti na Maisha ya Watu kwa Mungu ni Dhambi? Je ni Kosa la Kisheria? Je hawa Jamaa nao kama Watu Huru hawana Uhuru wao wa Kubeti kama vile ambavyo nimewahi Kuona nchi zingine kuna Michezo ya Kubetisha hadi ya Kuangalia ni Mwanaume gani anaweza Kufanya Tendo la Ndoa kwa Raundi nyingi na nani hawezi kabisa.
Wabobezi wa Masuala haya ya Kijamii na Kisheria hadi wale wa Kimamlaka hebu jitokezeni hapa mtusaidie Kutuelimisha nasi.
Watu hao Wawili walikuwa Wakibeti na Mmoja wao kasema kuwa kama mpaka Kesho Jumatano idadi ya waliokufa haitofika 100 anatoa Tsh Laki Tano na mwenzake kasema kama kuanzia leo kuna Majeruhi mwingine atakufa nae anatoa Tsh Laki Tano akiwa na maana kwamba hawa 97 ndiyo mwisho na wengine watapona.
Je Kubeti na Maisha ya Watu kwa Mungu ni Dhambi? Je ni Kosa la Kisheria? Je hawa Jamaa nao kama Watu Huru hawana Uhuru wao wa Kubeti kama vile ambavyo nimewahi Kuona nchi zingine kuna Michezo ya Kubetisha hadi ya Kuangalia ni Mwanaume gani anaweza Kufanya Tendo la Ndoa kwa Raundi nyingi na nani hawezi kabisa.
Wabobezi wa Masuala haya ya Kijamii na Kisheria hadi wale wa Kimamlaka hebu jitokezeni hapa mtusaidie Kutuelimisha nasi.