Emmanuel180
JF-Expert Member
- Dec 17, 2019
- 342
- 626
Binafsi hua najiuliza sana yawezekana kutegemwa kuajiliwa au kufanya kazi za kuajiriwa hua zinakua na madhara makubwa sana
Unakuta asilimia kubwa money management strategies hawana.
Juzi hapa kuna mwalimu alipandishwa kua mratibu wa ELIMU sasa baada ya kustaafu akapewa kama M90+ hivi ajabu sasa.
Yeye akaenda kununulia bajaji USED mbovu inamsumbua kila siku garage sahiii hela hana anauza(vyuma chakavu) maarufu screpa ajàbu nyingine mshauri wake wa fedha ni jamaa ambaye hata hajawahi kumiliki hata baiskeli.
Nataka kujua kwa sababu hii sio mara ya kwanza naona kwa watumishi wa serikali mtu anapokea kiinua mgongo then nothing an vitu anavyofanya utacheka mwisho wa siku anashtukia hana hata 100.
Unakuta asilimia kubwa money management strategies hawana.
Juzi hapa kuna mwalimu alipandishwa kua mratibu wa ELIMU sasa baada ya kustaafu akapewa kama M90+ hivi ajabu sasa.
Yeye akaenda kununulia bajaji USED mbovu inamsumbua kila siku garage sahiii hela hana anauza(vyuma chakavu) maarufu screpa ajàbu nyingine mshauri wake wa fedha ni jamaa ambaye hata hajawahi kumiliki hata baiskeli.
Nataka kujua kwa sababu hii sio mara ya kwanza naona kwa watumishi wa serikali mtu anapokea kiinua mgongo then nothing an vitu anavyofanya utacheka mwisho wa siku anashtukia hana hata 100.