Someone Somewhere
Member
- Apr 4, 2011
- 39
- 9
Kuna wimbo wa umefanywa na wasanii mbalimbali wa hapa nyumbani Tanzania ktk kuazimisha miaka 50 ya uhuru wa Tanganyika ingawa wenyewe wanadai miaka 50 ya uhuru wa Tanzania. Jambo linalonisikitisha ktk wimbo huo ukisikiliza kuanzia mwamzo mpaka mwisho hakuna kitu wanachozungumzia zaidi ya AMANI tu.
Kitu ninachojiuliza hivi hawa wasanii wetu hawana jambo lengine ambalo wangeweza kuzungumzia kuhusu miaka hii 50 ya uhuru zaidi ya AMANI tu!
Kitu ninachojiuliza hivi hawa wasanii wetu hawana jambo lengine ambalo wangeweza kuzungumzia kuhusu miaka hii 50 ya uhuru zaidi ya AMANI tu!