kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Kilichotokea kwenye kesi ya Mbowe kina impact Sana kwenye siasa na uchumi wetu. Aina ya mawakili wa serikali na Majaji tulionao na kwa namna wasivyo serious kunapaswa kutujuza kwamba lipo tatizo serikalini.
Juzi Mama aliwaelekeza waache kubambikia watu kesi, walipoelekezwa wakafuta zaidi ya kesi za watu Mia nne zilizofunguliwa kimakosa. Tukaona sawa tu
Leo wamemfanya Jaji aonekane kama kiti alichokalia Hana uwezo nacho Bali kapewa kimkakati. Hii ni fedhea kwa mahakama
Lakini kibaya ni pale unapobaini mawakili wamekosa umakini hata wakiandika hati za mashtaka. Lakini pia watu wanapiga kelele humu mitandaoni kwamba charge zimekosewa lakini hakuna aliyejipa muda wakushauri zibadilishwe Hadi wanakuja kuaibishwa mahakamani adharani. Lakini pia hata lugha waliyoandikia charge Awana uwezo wakuitumia mahakamani, means walicopy na kupaste.
Swali lakujiuliza, Hawa ndio huandaa mikataba? Hawa ndio huandaa miswada? Kama ndio Hawa, uwezo wakujadiliana wanao? Wanasoma? Taifa lipo salama mikononi mwa wasomi Hawa,?
Juzi Mama aliwaelekeza waache kubambikia watu kesi, walipoelekezwa wakafuta zaidi ya kesi za watu Mia nne zilizofunguliwa kimakosa. Tukaona sawa tu
Leo wamemfanya Jaji aonekane kama kiti alichokalia Hana uwezo nacho Bali kapewa kimkakati. Hii ni fedhea kwa mahakama
Lakini kibaya ni pale unapobaini mawakili wamekosa umakini hata wakiandika hati za mashtaka. Lakini pia watu wanapiga kelele humu mitandaoni kwamba charge zimekosewa lakini hakuna aliyejipa muda wakushauri zibadilishwe Hadi wanakuja kuaibishwa mahakamani adharani. Lakini pia hata lugha waliyoandikia charge Awana uwezo wakuitumia mahakamani, means walicopy na kupaste.
Swali lakujiuliza, Hawa ndio huandaa mikataba? Hawa ndio huandaa miswada? Kama ndio Hawa, uwezo wakujadiliana wanao? Wanasoma? Taifa lipo salama mikononi mwa wasomi Hawa,?