Hawa wanafunzi wa sekondari (Dar) wanakaa muda gani darasani?

tindikalikali

JF-Expert Member
Jan 14, 2011
4,855
1,117
Kwa kweli huwa nashindwa kuwaelewa wanafunzi wa jiji hili, muda wote wako barabaran na kwenye vituo vya daladala. Muda huu nipo Mwenge, kila kona kuna wanafunzi. Hivi ratiba zimebadilika na wanaingia kwa shift?
 
halafu unawakuta wanaongea na simu muda huo....maskini elimu yao i-mashakani
 
Alafu hawanaga pressure kbs ya kugombea magar, wanafika kituon saa 12 wanapanda gar saa 2, na shule zilvyombal, bas wanafka baada ya breaktime. kupunguza zero ngum sana.
 
wewe shule ulisomea wap? Kama ungesomea dar usingeshangaa!
nimesoma mkoani, vipindi vilikuwa kuanzia saa 2 mpaka saa 8:40. Nakumbuka kulikuwa na break saa 4<nusu saa> then saa 6 hv, robo saa. Ndiyo maana nashangaa
 
Back
Top Bottom