Kwa mtazamo wangu baada ya Nyerere hawa ndo the best people ambao wangestahili kiliongoza jahazi la watanzania ktk kufikia nchi ya asali na maziwa:
Kumbuka: kwa hali ilivyo nchini kwa sasa tunatakiwa viongozi wa kiutendaji zaidi na si wa directives, Mf.Kagame kwa ss huko rwanda
na hawa majamaa walijitokeza/wamejitokeza kuwa watendaji si watu wa porojo nyingi.
2015 HATUTAKI VIONGOZI/RAIS I CELEBRITY TUNATAKA WATENDAJI
RAISI: Edward Sokoine
M/Rais : Nafuta hicho cheo
Waziri Mkuu: Dr.W.Slaa
Mawaziri:
Augustino Lyatonga Mrema
Dr.H.Mwakyembe
J.Magufuli
T.Lissu
Z.Kabwe
A.Tibaijuka
Kumbuka: kwa hali ilivyo nchini kwa sasa tunatakiwa viongozi wa kiutendaji zaidi na si wa directives, Mf.Kagame kwa ss huko rwanda
na hawa majamaa walijitokeza/wamejitokeza kuwa watendaji si watu wa porojo nyingi.
2015 HATUTAKI VIONGOZI/RAIS I CELEBRITY TUNATAKA WATENDAJI
RAISI: Edward Sokoine
M/Rais : Nafuta hicho cheo
Waziri Mkuu: Dr.W.Slaa
Mawaziri:
Augustino Lyatonga Mrema
Dr.H.Mwakyembe
J.Magufuli
T.Lissu
Z.Kabwe
A.Tibaijuka