Uchaguzi 2020 Hawa wakienda kupiga kura Oktoba 28, CCM hatuna chetu!

M mwenyewe npo tanzania na hali halisi ni vijana wengi sana watampigia kura magu sababu kazi yake inaonekana kuanzia kuwabana mafisadi hadi kuongeza uwajibikaji kwa ofisi za serkali hadi jinsi alivyopambana na covd19 wote niliongea nao wamenihaidi kuumpa kura

Mbona mimi niko hapa hapa Tanzania lakini naweza kuandika kwa kuweka koma na nukta, ww unakwama wapi?

Kijana gani anajivunia uwepo wa Magufuli huku hana ajira, na mambo yanazidi kuwa mugumu kimapato? Hizo propaganda za tiss na mataga ndio zinakifanya uamini kuwa kuna uwajibikaji kwenye ofisi za serikali?

Nenda ofisi yoyote ya serikali utakayopata huduma ipasavyo, bila kuwekewa mazingira ya rushwa. Amepambana na Covid kwa kuzuia kutangazwa kwa idadi ya wagonjwa!

Maombi huwa yanaondoa ugonjw? kama maombi yanaondoa ugonjwa mwambie aatishe maombi ili ukimwi, kisukari, pressure nk yaaishe. Hakuna kijana anayejitambua atakayempa kura mtu anayemshindisha njaa kwa kumnyima ajira.
 
Mbona mimi niko hapa hapa Tanzania lakini naweza kuandika kwa kuweka koma na nukta, ww unakwama wapi? Kijana gani anajivunia uwepo wa Magufuli huku hana ajira, na mambo yanazidi kuwa mugumu kimapato? Hizo propaganda za tiss na mataga ndio zinakifanya uamini kuwa kuna uwajibikaji kwenye ofisi za serikali? Nenda ofisi yoyote ya serikali utakayopata huduma ipasavyo, bila kuwekewa mazingira ya rushwa. Amepambana na Covid kwa kuzuia kutangazwa kwa idadi ya wagonjwa! Maombi huwa yanaondoa ugonjw? kama maombi yanaondoa ugonjwa mwambie aatishe maombi ili ukimwi, kisukari, pressure nk yaaishe. Hakuna kijana anayejitambua atakayempa kura mtu anayemshindisha njaa kwa kumnyima ajira.
We upo tanzania ya wapi?
sio lazima uajiriwe na serkal.kati ya sekta binafs na serkali ipi inaongoza kwa kuajiri?

we ulpoteza wanafamilia wangapi kwa covd19?

ivi unafkiri yanga na simba watu wanavyojazana viwanjani utamwaminisha nani covd19 ipo?

Sina tatizo na uwajibikaji wa civil servant rushwa hua mnatengeneza wenyewe kwa kupenda shortcut na kutotimiza vigezo

mimi bado npo kwenye umri wa ujana na nitampigia kura magu
 
Huu si utabiri, ni ukweli. Serikali ya CCM itarudi madarakani si kwa kuchaguliwa na wapiga kura, Bali watakao hesabu na kutangaza matokeo. Maumivu wameipata wengi, ongeza: wajasiria mali wanaodaiwa kulipa kodi ya sh 20000 wakiwa na mtaji wa sh 5000, wauza baa waliofutwa kazi kwa baa kulazimishwa kufunguliwa saa 10 kinyume cha Sheria, nk nk. Kila alieguswa na masahibu haya ana watu zaidi ya 20 ambao kwa njia moja au nyingine aliathiriwa.
 
Kuna kundi la wasomi walisoma education hawa ni wahanga wa ajira Kwenye kipindi cha Magufuli tena wanahasira kwelikweli.
Na ambao sasa wanaenda kupata msongo wa mawazo. Kupelekwa kufundisha shule za msingi(japo kwa malipo yale yale)
 
We upo tanzania ya wapi?
sio lazima uajiriwe na serkal.kati ya sekta binafs na serkali ipi inaongoza kwa kuajiri?

we ulpoteza wanafamilia wangapi kwa covd19?

ivi unafkiri yanga na simba watu wanavyojazana viwanjani utamwaminisha nani covd19 ipo?

Sina tatizo na uwajibikaji wa civil servant rushwa hua mnatengeneza wenyewe kwa kupenda shortcut na kutotimiza vigezo

mimi bado npo kwenye umri wa ujana na nitampigia kura magu

Sina popote ninapotaka serikali iajiri kila mtu, ila ina wajibu wa kuajiri, na kuweka mazingira mazuri ya kujiajiri. Lakini unaposikia TRA wanasema kama unapata hasara kwenye biashara yako funga, hapo unategemea nini?

Wewe ndiye umetaja ugonjwa wa Covid kama sehemu ya kumpa rais kura, mimi kwangu Covid najua haukuwa na nguvu yoyote kwenye huu ukanda wetu, hivyo sio ugonjwa wenye madhara kama zilivyo sehemu nyingine duniani. Lakini hakuna effort yoyote ya rais kwenye mapambano ya ugonjwa zaidi ya ugonjwa huo kupungua wenyewe. Kama kuficha taarifa za ugonjwa ni effort sikuzuii kumpa kura.

Hilo la rushwa liko palepale, lakini tofauti ya sasa na hapo mwanzo rushwa imekuwa ya kificho kidogo. Na usipotoa rushwa utazunguka sana kupata huduma. Sina kipingamizi chochote cha ww kumpa kura maana ni mfaidika wake, na ukiweza tafuta vijana wengi uwezavyo mumpe kura hiyo ni haki yako. Lakini mimi na watu wengi tunaojitambua hatufanyi ujinga huo.
 
Kwa ngazi zote za Urais, Ubunge na Udiwani. Kama chama tawala kinachoomba ridhaa ya miaka mitano mingine, tukeshe tukiomba kuwa hawa wafuatao wasiende kupiga kura Oktoba 28 mwaka huu. Wakienda na wakipiga kura, CCM hatutakuwa na chetu. Watapiga kura za uchungu na kuukataa uchungu zaidi. Zitakuwa kura za kuponya mioyo yao kwakuwa watakuwa wametoa maumivu yao kupitia kukataa.

Hawa wakienda kupiga kura, CCM lazima ije na mbinu mbadala kuliko daladala. Wataikataa CCM na wagombea wake mchana peupe. Wataikataa CCM na wagombea wake kwa kutumia kadi zao za kupigia kura, kwenda kwao kupiga kura. CCM itakataliwa kwa maumivu yaliyotokana na matendo na maneno ya Serikali iliyoundwa nao. Nawataja wa uchache watu hao ambao kama CCM tunapaswa kukesha tukiomba wasiende kupiga kura.

Waliobomolewa nyumba na biashara zao bila kulipwa fidia pamoja na ndugu, jamaa na marafiki zao; waliofukuzwa kazi kwa sakata la vyeti bila kupewa hata sumni pamoja na kufanya kazi kwa miongo kadhaa pamoja na ndugu, jamaa na marafiki zao; waliopatwa na majanga ya asili bila kupata msaada wa kiserikali pamoja na ndugu, jamaa na marafiki zao; waliofungiwa biashara na shughuli zao za kiuchumi kwa njia za kibabe pamoja na wategemezi wao.

Na wote ambao wameoisoma namba kwa namna moja au nyingine!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kagera, Tanzania)
tupatupa
 
We mzee kumbe unafanana sana matendo na nyumbu

Ok wapigakura ni ml28 je ukijumlisha hao wote unapata ngapi? ukitaka +na wafanyakazi wa serikali
wanachama wa ccm pekee wanatosha kumrudisha JPM madarakani
nyie endeleeni kupiga ramli tuu
Wapiga kura 28m hakuna, hizo ni takwimu za NEC kusimamiwa na CCM kupata vituo hewa.
 
Kwa ngazi zote za Urais, Ubunge na Udiwani. Kama chama tawala kinachoomba ridhaa ya miaka mitano mingine, tukeshe tukiomba kuwa hawa wafuatao wasiende kupiga kura Oktoba 28 mwaka huu. Wakienda na wakipiga kura, CCM hatutakuwa na chetu. Watapiga kura za uchungu na kuukataa uchungu zaidi. Zitakuwa kura za kuponya mioyo yao kwakuwa watakuwa wametoa maumivu yao kupitia kukataa.

Hawa wakienda kupiga kura, CCM lazima ije na mbinu mbadala kuliko daladala. Wataikataa CCM na wagombea wake mchana peupe. Wataikataa CCM na wagombea wake kwa kutumia kadi zao za kupigia kura, kwenda kwao kupiga kura. CCM itakataliwa kwa maumivu yaliyotokana na matendo na maneno ya Serikali iliyoundwa nao. Nawataja wa uchache watu hao ambao kama CCM tunapaswa kukesha tukiomba wasiende kupiga kura.

Waliobomolewa nyumba na biashara zao bila kulipwa fidia pamoja na ndugu, jamaa na marafiki zao; waliofukuzwa kazi kwa sakata la vyeti bila kupewa hata sumni pamoja na kufanya kazi kwa miongo kadhaa pamoja na ndugu, jamaa na marafiki zao; waliopatwa na majanga ya asili bila kupata msaada wa kiserikali pamoja na ndugu, jamaa na marafiki zao; waliofungiwa biashara na shughuli zao za kiuchumi kwa njia za kibabe pamoja na wategemezi wao.

Na wote ambao wameoisoma namba kwa namna moja au nyingine!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kagera, Tanzania)
Walio kosa ajira kwa miaka mitano.
 
Kwa ngazi zote za Urais, Ubunge na Udiwani. Kama chama tawala kinachoomba ridhaa ya miaka mitano mingine, tukeshe tukiomba kuwa hawa wafuatao wasiende kupiga kura Oktoba 28 mwaka huu. Wakienda na wakipiga kura, CCM hatutakuwa na chetu. Watapiga kura za uchungu na kuukataa uchungu zaidi. Zitakuwa kura za kuponya mioyo yao kwakuwa watakuwa wametoa maumivu yao kupitia kukataa.

Hawa wakienda kupiga kura, CCM lazima ije na mbinu mbadala kuliko daladala. Wataikataa CCM na wagombea wake mchana peupe. Wataikataa CCM na wagombea wake kwa kutumia kadi zao za kupigia kura, kwenda kwao kupiga kura. CCM itakataliwa kwa maumivu yaliyotokana na matendo na maneno ya Serikali iliyoundwa nao. Nawataja wa uchache watu hao ambao kama CCM tunapaswa kukesha tukiomba wasiende kupiga kura.

Waliobomolewa nyumba na biashara zao bila kulipwa fidia pamoja na ndugu, jamaa na marafiki zao; waliofukuzwa kazi kwa sakata la vyeti bila kupewa hata sumni pamoja na kufanya kazi kwa miongo kadhaa pamoja na ndugu, jamaa na marafiki zao; waliopatwa na majanga ya asili bila kupata msaada wa kiserikali pamoja na ndugu, jamaa na marafiki zao; waliofungiwa biashara na shughuli zao za kiuchumi kwa njia za kibabe pamoja na wategemezi wao.

Na wote ambao wameoisoma namba kwa namna moja au nyingine!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kagera, Tanzania)
Siyo hao tu, waliofunguliwa kesi za uhujumu uchumi za kubambikizwa, wavuvi walio chomewa nyavu zao na kupigwa faini hambazo hazipo, Waliovuiliwa kuuza korosho na kahawa n.k
 
Ngoja nikuulize swali moja
Ww ulitegemea kuyaona unayoyaona kutoka upinzani wa Sasa baada ya kukaa 5yrs no siasa?

for me kupiga siasa kipindi ambacho sio cha kampeni its a no for me! ningependa washikilie kabisa hapo, thats bullshit, ni mara mia kila mtu afanye kwenye jimbo lake

-wewe kampeni zishaisha unaenda kuwaambia nn? wacha watu wafanye kazi bana! na ningependa iwe marufuku kufanya kampeni kipindi ambacho sio cha uchaguzi
 
We mzee kumbe unafanana sana matendo na nyumbu

Ok wapigakura ni ml28 je ukijumlisha hao wote unapata ngapi? ukitaka +na wafanyakazi wa serikali
wanachama wa ccm pekee wanatosha kumrudisha JPM madarakani
nyie endeleeni kupiga ramli tuu 😁😁😁
HIVI KUNA WANACHAMA WA CCM WALIOVUNJIWA NYUMBA?
 
Sina popote ninapotaka serikali iajiri kila mtu, ila ina wajibu wa kuajiri, na kuweka mazingira mazuri ya kujiajiri. Lakini unaposikia TRA wanasema kama unapata hasara kwenye biashara yako funga, hapo unategemea nini?

Wewe ndiye umetaja ugonjwa wa Covid kama sehemu ya kumpa rais kura, mimi kwangu Covid najua haukuwa na nguvu yoyote kwenye huu ukanda wetu, hivyo sio ugonjwa wenye madhara kama zilivyo sehemu nyingine duniani. Lakini hakuna effort yoyote ya rais kwenye mapambano ya ugonjwa zaidi ya ugonjwa huo kupungua wenyewe. Kama kuficha taarifa za ugonjwa ni effort sikuzuii kumpa kura.

Hilo la rushwa liko palepale, lakini tofauti ya sasa na hapo mwanzo rushwa imekuwa ya kificho kidogo. Na usipotoa rushwa utazunguka sana kupata huduma. Sina kipingamizi chochote cha ww kumpa kura maana ni mfaidika wake, na ukiweza tafuta vijana wengi uwezavyo mumpe kura hiyo ni haki yako. Lakini mimi na watu wengi tunaojitambua hatufanyi ujinga huo.
ngoja nijikite kwe ajira...hayo mengine kwangu ni blablaa tuu

Je ni mazingira gani mazuri unayoyamaanisha maana hadi hapa walpofkiaa kwa kuanzia panatosha
1)mikopo kwa walemavu
2)mikopo kwa vijana
4)mikopo ya vikundi
👆hiyo yote hutolewa na halmashauri so nenda kwe halmashaur uliopo kwa maelezo zaidi

Bado pia sekta binafsi zinatoa mikopo nafuu na serkali ilpunguza riba

jmn msisahau bado nchi yetu ni maskini tunajikongoja mdomdo hata nyie wapinzani(wote)mkipewa inchi saiv bado itawachukua zaidi ya miaka 20 mabadiliko mnayoubiri kuonekana

by the way mimi sio mwanasiasa ni vile tuu najua how government works
 
for me kupiga siasa kipindi ambacho sio cha kampeni its a no for me! ningependa washikilie kabisa hapo, thats bullshit, ni mara mia kila mtu afanye kwenye jimbo lake

-wewe kampeni zishaisha unaenda kuwaambia nn? wacha watu wafanye kazi bana! na ningependa iwe marufuku kufanya kampeni kipindi ambacho sio cha uchaguzi

Ujajibu swali, kwenye Makampuni makubwa hapo ushakosa kazi
 
Back
Top Bottom