Liverpool2005
Member
- Jul 20, 2011
- 43
- 39
Hawa wafuasi wa magamba walishauriwa vibaya kisa chenji chache kutoka huko juu, wakaingia kichwa kichwa,mabwana zao wakamwaga hela wakashinda.sasa wao wanarudi kwenye nyumba zao za vibatari mabwana zao wapo kwenye viyoyozi wanapanga kurudi tena kuwapa kofia kwenye uchaguzi ujao.swali langu kwao ni sasa wataishije huku uswailini coz najua hata salamu kupata itakuwa ngumu kupata...WALAANIWE