Mwamba028
JF-Expert Member
- Nov 15, 2013
- 4,546
- 3,549
Hivi ndo nn kupunguza dakika za kwenye vifurushi
Eti sa hv 500 ambayo ulikua unapata dk 12 na mb 125 sa hv unapata dk 10 na mb 75
650 ambayo ilikuwa dk 20 ss ni dk 17 na mb wamepunguza pia
Hawa voda mi naona wanaumwa nnya kwa kweli!
Huu wizi wa kindezi mpaka lini asee??
Eti sa hv 500 ambayo ulikua unapata dk 12 na mb 125 sa hv unapata dk 10 na mb 75
650 ambayo ilikuwa dk 20 ss ni dk 17 na mb wamepunguza pia
Hawa voda mi naona wanaumwa nnya kwa kweli!
Huu wizi wa kindezi mpaka lini asee??