Ng'ombe hazeeki Maini.Za asubuhi wapendwa
Hawa watoto wa kiume hawanaga adabu yaani wanapenda kutongoza watu wazima jamani loohh!!
Tena hawaogopi hata kidogo jamani..loohhh!!
Hawaogopagi kuwachungulia wazazi wao.Utakuta mtoto wa miaka 24 au 25 anatongoza mdada wa miaka 30 au 45 loohhh!!
Hivi hua mnafata nini kwa wazee?au ndo hali ngumu mnataka vitongaa au ndo kupenda kulelewa tu...!!
Nyie watoto kueni na adabu jamani hebu katafuteni rika lenu hukoo!!
Mtapata laana kuchungulia wazee wenu.
Waafrika tu ndio tunaweka mipaka ya Umri kwenye suala la mapenzi! Nakukumbusha tu Rais wa Ufaransa anazidiwa na mkewe miaka 12 na ushee!
NiPm namba yako tuyajenge, hakuna mkate mgumu mbele ya supuMleta mada uko sahihi kabisa, wakinifuata ninawaambia Tena mimi si sister, Mimi aunty yenu.
Hakawizwi mtu mie mwezi jana nilikakunja kamoja nikakalisha vibao vya haja. Kuna vitu vinakera sana duniani, najua kutongoza sio jinai lakini mitongozo mingine ni ya kisenge sana you cant help but reactSi ungekachana hapohapo kuliko kuja kulalamikia huku
Wape mzigo wakurudishe ujanani .Mleta mada uko sahihi kabisa, wakinifuata ninawaambia Tena mimi si sister, Mimi aunty yenu.
Hehehe ndo vinapendwa kwa shoo....vikiingia uwanjani mashabiki hawakai wewe dina una hatariIla hivyo vitoto vya 24 au 25 vinasimamia kucha
25 to 30 mbona pazuri tu, inategemea na maumbo ya wahusika usishangae ukaambiwa utaje mwenye umri mkubwa ukafanya vaisi vesa.Za asubuhi wapendwa
Hawa watoto wa kiume hawanaga adabu yaani wanapenda kutongoza watu wazima jamani loohh!!
Tena hawaogopi hata kidogo jamani..loohhh!!
Hawaogopagi kuwachungulia wazazi wao.Utakuta mtoto wa miaka 24 au 25 anatongoza mdada wa miaka 30 au 45 loohhh!!
Hivi hua mnafata nini kwa wazee?au ndo hali ngumu mnataka vitongaa au ndo kupenda kulelewa tu...!!
Nyie watoto kueni na adabu jamani hebu katafuteni rika lenu hukoo!!
Mtapata laana kuchungulia wazee wenu.
Wanafanya makosa sana kukutajia umri wao. Mimi sitaji ng'okakatafute wa size yake