kilambalambila
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 9,290
- 8,611
- Thread starter
- #21
Ndizi pakia kwenye maroli lami iko kila mahali Bombadier si ya ndiziUwanja wa ndege wa Jamhuri mpya umekamilika? Nataka nikabebe ndizi na Pangaboi aina ya Boeing
Ndizi pakia kwenye maroli lami iko kila mahali Bombadier si ya ndiziUwanja wa ndege wa Jamhuri mpya umekamilika? Nataka nikabebe ndizi na Pangaboi aina ya Boeing
Aliyeshinda ni rais wa JMT sasa, lowasa anajijua mwenyewe ni nani nchi hii kwa sasaKwanini wajidharau wakati lowasa alishinda? Jitihada zao hazikua bure sema refa alipendelea upande mmoja hadi akahalalisha bao la mkono lowasa nae akaona watanzania wanathamani kuliko yeye so hakutaka umwagaji damu akaona atulie. Mbona sasa anakumbukwa
Labda ungeniambia kwa treni ya umeme, nataka niendane na neema ya Mkulu japo niache hata athari ya doa kwenye vyombo maridadi kabisa nya kisasa.Ndizi pakia kwenye maroli lami iko kila mahali Bombadier si ya ndizi
Acha ujinga mkuu kwenye vitu serious.. Kuna Jema tulilonalo hivi sasa kwenye utawala huu! Ninauhakika ndani ya moyo wako kabisa hata wewe Unajuta kuwepo kwa huyu mtu Hapo magogoni!Aliyeshinda ni rais wa JMT sasa, lowasa anajijua mwenyewe ni nani nchi hii kwa sasa
Username yako tu inafunua wewe ni mtu gani, hutupi kuwaza hata.Alishanda monduli lkn sio tz hii.
Wazee wa siasa bna..kwa hyoo kungekuwa na utawala wa lowasa sas hvi kungekuwa na jema sio.?Acha ujinga mkuu kwenye vitu serious.. Kuna Jema tulilonalo hivi sasa kwenye utawala huu! Ninauhakika ndani ya moyo wako kabisa hata wewe Unajuta kuwepo kwa huyu mtu Hapo magogoni!