mtaratibuuuuuu
Member
- Aug 17, 2009
- 60
- 4
Hiyo system yao waliyoianzisha ya vifurush vya channel 35 na channel 45 mbona siyo?,eti ukitaka channel 35 ulipe 9000 ukitaka ya 45 ulipe 18000 kwa mwezi,channel 10 tu wameweka hela hiyo kwa nini wasiseme chnl 70 kwa 18000,halaf kwanza zinakwamakwama halaf wanaongeza hela badala ya ubora, wanakera hawa looo