BAF
JF-Expert Member
- Apr 28, 2017
- 422
- 510
Vijana wanaomaliza Chuo kuanzia mwaka 2017,2018,2019 na 2020 wapate ajira mapema maana wamejione wenyewe uChungu wa nchi na mwelekeo wa nchi unatakiwa Uweje....wengine mjiari Kwani Boom mmekula ovyo ovyo na kwenda club na hela za boom lakini kwasasa mwanafunzi anaogopa hata kutumia boom vibaya kwasababu ya uchungu wa nchi na maendeleo ambayo anayaraka raisi na uzalendo.Hata hivyo hawa vijana wamepata mkopo kwa Shida na kwa vigezo sahihi!