Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,045
- 15,378
Asa izo dharau kaka ....maisha hatufanan mm nanunua kitu kulingana na pesa yangu inavyoruhusu .... sasa ukisema kopo samsung A02 mama yako atakuwa anatumia nn? Maana ndio unataka majibu ya shit.......inatakiwa uwe mstaarabu na si kukashifu watu umu
Sasa kama umenunua kutokana na pesa yako kwanini unataka huduma ambazo zipo kwenye simu za bei ya juu???
Yani unanunua kopo la laki 2 unata liwe kama simu ya milioni 1 ???
Ww unadhani bei zipo tofauti kwa kuzingatia nini?