Cha njiwa
Member
- Sep 3, 2017
- 77
- 156
- Thread starter
- #21
Aisee wapo,.. Unakumbuka bwawa lilifungwa kwa miezi 6,limefunguliwa mwezi Jana tu na Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro na Manyara.... Saa hizi kuna mizigo ya maana... Pita pale Kifaru utawakuta mkuu..Nyumba ya Mungu ya hapa Ushirombo, hakuna samaki wa aina hiyo aiseeee