maguluashimba
Senior Member
- Sep 13, 2017
- 156
- 137
- Thread starter
- #21
Mkuu hawa watu usiowaone powa ni watu wa hatari wakuogopa kama ukoma. Kwanza niwabinafsi na hawapendi kuchangamana na wengine na niwasiri. Pili, je, wanavibari halali vya uhamiaji?, Tatu watu hawa hawana address Leo wako hapa kesho pale. Kwa kweli ni hatari kwa usalama wa RAIA na Mali zao. Idara ya uhamiaji inatakiwa ichukue hatua za kuthibiti hali hii mapema.Hakuna watu ambao wako poa waaminifu na wanyenyekevu kama wamalawi hawa jamaa unaweza kuwadharau kwa muonekano wa kishamba, mtoa mada ni kweli usalama wako unatishiwa na hao wamalawi? Na kwa bahati nzuri umesema ni ma shamba boi na ma house boy, nenda kwao ukaone waKinga na waNyakyusa walivyojaa huko, unless kama wamekudhuru ila malalamiko yako hayana mashiko,