Hawa Paka Wangu Siwaelewi

Mkuu mm nimesikia Wanyama ukiishi nao kwa wema Mkashabihiana basi mnakuwa mnarishishana hadi Tabia.., hao wadogo itakuwa ni Viburi tu jaribu kuwaandalia Dozi ya Makofi watalia tu!!!
 
Mkuu mm nimesikia Wanyama ukiishi nao kwa wema Mkashabihiana basi mnakuwa mnarishishana hadi Tabia.., hao wadogo itakuwa ni Viburi tu jaribu kuwaandalia Dozi ya Makofi watalia tu!!!
Hujaona hapo anasema amesha "wa dash out" sijui ndio ame wakili au amewatupa.
 
Baada ya kusumbuliwa na panya kwa muda nikaamua kutafuta paka, kweli since then panya kwangu hakunaa. Huyo paka akazaa dume..sasa tokea hapo huyo dume ndio amekuwa mume wa paka mama na cha ajabu kabisa wameanzisha tabia ya kupigana miti mbele zetu hata mbele ya wageni yaani wenyewe ni popote pale. Inakera sana. Yaani wanaanza romance mpaka kuchapana dushelele mbele ya familia.

Milio ile ya nuksi nuksi kama watoto wanalia wenyewe wanaipiga tena mchana kweupe bila woga

Je, hii ni nuksi au kawaida au ndio utandawazi.

Na juzi juzi hapa kazaa vipaka vibubu havilii vyenyewe ni kutoa macho tu ndani ya miezi miwili sijawahi kuvisikia vinalia hata tone. Nimesha dash out. Wamebakia hawa vicheche-nyegere paka.

Nawagawa wallah watake wasitake!!
ungewa sterilize tu hao
 
Wewe mfugaji ndio mwenye makosa, ni vibaya kuwaacha Wanyama/mifugo wenye nasaba kupandana/kuzaa.

Ungemuondoa huyo Mtoto, then utafute paka dume kutoka mbali huko.

Hitilafu ya hivyo vitoto ndio matokeo ya kuzaa ndugu.
 
JF raha sana unacheka huku hutaki eti vichechere vinyegezi daaah mkuu umenifurahisha sanah agiza kinywaji chochote nitalipa
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom