badison
JF-Expert Member
- May 29, 2015
- 1,450
- 2,702
Nilisha zungumza kuhusu hawa wanyama wafugwao kwamba, siyo viumbe halisi, hawana nafasi, in short ni GMO.
Sipendi paka mimi wala sitaki kukaa nyumba yoyote ya mtu anayefunga paka. Kwa kweli paka siwapendi, akikuangalia kama anakusoma hivi, ana macho flani ya kijizi.
Embu ona yalivyo jaa huku mtaani na yanalia usiku, yani ni usumbufu kila mahali. Hata dukani nikienda nikamkuta muuzaji na kuna paka hapo dukani, sinunui kitu hapo naondoka.
Hata wanga huwezi kuwatofautisha na paka. Kwani wanga wanapenda sana kutumia umbo la paka. Popote nionapo paka naondoka haraka huwezi jua ni paka kweli au paka mtu.
Yani hawa wanyama paka cha kushangaza hata baa yapo, sipendi baa zenye paka sana. Ni bora niondoke kwa kweli, siwezi kumpa paka hata mfupa. Ninamfukuza popote nikimuona. Kwakuwa najua haya mapaka yana akili timamu kabisa kama watu. Na pia paka hasahau mtu na pia ni myama mwenye kisasi sana. Ushauri wangu, kaa mbali na nyumba yenye paka.
Sipendi paka mimi wala sitaki kukaa nyumba yoyote ya mtu anayefunga paka. Kwa kweli paka siwapendi, akikuangalia kama anakusoma hivi, ana macho flani ya kijizi.
Embu ona yalivyo jaa huku mtaani na yanalia usiku, yani ni usumbufu kila mahali. Hata dukani nikienda nikamkuta muuzaji na kuna paka hapo dukani, sinunui kitu hapo naondoka.
Hata wanga huwezi kuwatofautisha na paka. Kwani wanga wanapenda sana kutumia umbo la paka. Popote nionapo paka naondoka haraka huwezi jua ni paka kweli au paka mtu.
Yani hawa wanyama paka cha kushangaza hata baa yapo, sipendi baa zenye paka sana. Ni bora niondoke kwa kweli, siwezi kumpa paka hata mfupa. Ninamfukuza popote nikimuona. Kwakuwa najua haya mapaka yana akili timamu kabisa kama watu. Na pia paka hasahau mtu na pia ni myama mwenye kisasi sana. Ushauri wangu, kaa mbali na nyumba yenye paka.