cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,522
- 137,147
kwa kweli za mchongo lol.Mtoa post unaonekana kabisa wewe ni mdini lakini hata dini yenyewe huna ujuzi nayo, katika hao wote uliowaorodhesha hapo juu hakuna aliyehukumiwa na huyo mungu kwasababu ya kumdhihaki.
Labda nikukumbeshe kitu kimoja, kifo sio adhabu kwa maana huyo mungu mwenyewe kupitia maandiko yake kasema kuwa kila mtu kapangiwa siku yake ya kufa.
Sasa ikitokea leo mimi namdhihaki alafu anihukumu kwa kifo hapo ataonesha wazi kuwa hana msimamo, pia fuatilia alichokisema mkuu SCARS kwenye comment ya #3.
Sio ukristo tu hata uislamu utakufa, kadri siku zinavyokwenda watu wa dini wanaachana na hizi dini baada ya kugundua kuwa hizi dini ni za michongo.