Watu wanajiita wanandoa lkn kila mtu ana mambo yake.
Mke kutwa kwenye mitandao akichat na mabwana, hali kadhalika mume kutwa anachati na mademu. kwann mliingia kwenye ndoa?
Mko kwenye ndoa lkn mavazi yenu na maongezi bila kusahau kampani zenu bado ni za kihuni. Badilikeni.
Mkitoka kwenda sehemu hata mkiwa kwenye gari yenu binafsi njia nzima hamuongei. Mlilazimishwa Kuoana?
Wanandoa gani mumejawa jazba usoni? Hamtaniani hata kidogo?
Kosa dogo tu mtabwatukiana mpk mtaa mzima ujue na kurekodi kwenye simu zao. Ama mtatwangana mpk mmoja alale kwa mjumbe ama polisi.
Ambao bado hawajaingia kwenye ndoa wanapo yaona haya mioyo yao hupata baridi yabisi wakiifikiria ndoa.
Mke kutwa kwenye mitandao akichat na mabwana, hali kadhalika mume kutwa anachati na mademu. kwann mliingia kwenye ndoa?
Mko kwenye ndoa lkn mavazi yenu na maongezi bila kusahau kampani zenu bado ni za kihuni. Badilikeni.
Mkitoka kwenda sehemu hata mkiwa kwenye gari yenu binafsi njia nzima hamuongei. Mlilazimishwa Kuoana?
Wanandoa gani mumejawa jazba usoni? Hamtaniani hata kidogo?
Kosa dogo tu mtabwatukiana mpk mtaa mzima ujue na kurekodi kwenye simu zao. Ama mtatwangana mpk mmoja alale kwa mjumbe ama polisi.
Ambao bado hawajaingia kwenye ndoa wanapo yaona haya mioyo yao hupata baridi yabisi wakiifikiria ndoa.