DUME SURUALI
JF-Expert Member
- Dec 8, 2016
- 782
- 1,082
Et alors ???Syntax error...
Et alors ???Syntax error...
Asee hongereni sana sana mkuu Elli. Mungu awazidishie baraka. Sisi tuna miaka 19 ya ndoa.Yangu Haina Shida tarehe 17 December 2016 tunatimiza miaka 17 ya Mahusiano sasa. Inshaallah
Mbona unaahidi vitu ambavyo haviendani na jina lako?Hi bebi ..Mimi sijaoa bado na nimekupenda chochote nitafanya kwa ajili yako
Ndoa ina raha sana...ila isiwe kama alivosema mleta mada..mnaishi pamoja lakini kila mtu na ustaarabu wake, ni hatari.Amen, hongera sana Mkuu wangu, vijana wajifunze toka kwetu. Sasa hivi kila nikiweka post yeye picha yetu watu wanasema tunafanana!!! Hahahahahahahaaaaa
Ukisikia hawagombani kuna mawili...kwanza inaweza kuwa ni matatizo / ugomvi ambao wao wameuweka kwenye kundi la ugomvi mdogo hivo wanasuluhisha kabla siku haijaisha. Aina ya pili unaweza ukawa ugomvi mkubwa lakini pia wakatumia busara, hekima na uvumilivu wakasuluhisha bila watu wengi wa nje kujua. Na maisha yakaendelea. Kwa hiyo watu waliowazunguka siku zote wataona ni ndoa yenye furaha...(kwa uzoefu wangu)Ukikuta wanandoa wanaishi vizuri hawagombani ujue mmojawapo ni taahira. Kwasababu haiwezekani watu wawili wenye akili timamu, walilelewa tofauti alafu itokee tu muujiza eti waishi kwa usalama mwanzo mwisho wasitofautiane mawazo