Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,356
Sio mimi ndo ntawakoma?Mademu watakukoma babu
Sio mimi ndo ntawakoma?Mademu watakukoma babu
Liganga songea?Nimechekaa hadi baas, , lol mie house maid tobaaaaah, nahisi wenye nyumba wamenishanichoka wanataka kunirudisha kwetu huko Liganga. Mweeeeeeeh
ujue nilikuwa navuta picha huyu behaviorist ni nani?mbona kama namfahamu? Dah ulivyobadili avarta unnaonekana tofauti kinoma hata hapa IFM kila mtu anakuzungumziaMimi kazi yangu ni dalali wa kuuzia CCM wapinzani!
umenifanya nirudi juu, kumbe hiyo nayo ni kazibado nafikilia vigezo ulivotumia mleta mada kuniweka kundi hilo
umenifanya nirudi juu, kumbe hiyo nayo ni kazi
unaona sasa kumbe mtoa mada yupo sahihi, unataka uanze kunitapeli hapahapababe we acha tu.mleta mada kanipaka matope
Yesu wangu MimiHapa nina orodha ya baadhi ya wanaJF na kazi ambazo zinawafiti...
Asprin - mstaafu TRA
Chief - mkwawa (IT)
FaizaFoxy - mstaafu hapo Lumumba.
Kiduku Lilo -
Lucas Mobutu
troublemaker
GENTAMYCINE
GuDume
Chizi Maarifa
(Hawa ni matapeli wa warembo wanakula sana bia)
cocastic - beki 3
Jael - mama wa nyumbani
Khantwe - manager hotelini
Daudi Mchambuzi - polisi.
Don Clericuzio - mchambuzi wa soka.
yuzazifu - yupo kwao anakaa.
Zero IQ - mjasiriamali.
juma mpemba - jambazii.
Extrovert - sound engineering mlevi.
Mshana Jr - huyu anajulikana..
amu - ana duka la nguo
Mama Debora - haaminiki tapeli tapeli ..
Saint Anne - nesi ( japo ni mbishi sana)
Behaviourist - anakaa kwa mjomba wake ,mpenda chura.
GODZILLA - mwanasheria ,ana mikwara mingi.
Kiranga - doctor ,mbishi
miss chagga - ukiwa na hela tu akicheka huna
Saint Ivuga - muongo muongo
Hannah kazi yake ni kunipenda ,wife material
Msinifokeee
ujue nilikuwa navuta picha huyu behaviorist ni nani?mbona kama namfahamu? Dah ulivyobadili avarta unnaonekana tofauti kinoma hata hapa IFM kila mtu anakuzungumzia
unaona sasa kumbe mtoa mada yupo sahihi, unataka uanze kunitapeli hapahapa
Umestahili mkuu hahabado nafikilia vigezo ulivotumia mleta mada kuniweka kundi hilo
Kwa kweli ubishi wako umezidi we nesi hahaYesu wangu Mimi
Siku hizi umeachana na chura?Mimi kazi yangu ni dalali wa kuuzia CCM wapinzani!
Huo unesi umenipachika tuKwa kweli ubishi wako umezidi we nesi haha
nursing inakufaa kweli kabisa we ni kapoleHuo unesi umenipachika tu
Hata shule sijaenda.
Hivi mimi ni mbishi???
THOMASS SANKARA eti mimi ni mbishi?
Mbona umemuita mbishi mwenzioHuo unesi umenipachika tu
Hata shule sijaenda.
Hivi mimi ni mbishi???
THOMASS SANKARA eti mimi ni mbishi?