Hawa ni wanaJF na kazi zao

Hapa nina orodha ya baadhi ya wanaJF na kazi ambazo zinawafiti...

Asprin - mstaafu TRA

Chief - mkwawa (IT)

FaizaFoxy - mstaafu hapo Lumumba.

Kiduku Lilo -
Lucas Mobutu
troublemaker
GENTAMYCINE
GuDume
Chizi Maarifa
(Hawa ni matapeli wa warembo wanakula sana bia)

cocastic - beki 3
Jael - mama wa nyumbani
Khantwe - manager hotelini
Daudi Mchambuzi - polisi.
Don Clericuzio - mchambuzi wa soka.
yuzazifu - yupo kwao anakaa.
Zero IQ - mjasiriamali.
juma mpemba - jambazii.

Extrovert - sound engineering mlevi.
Mshana Jr - huyu anajulikana..
amu - ana duka la nguo

Mama Debora - haaminiki tapeli tapeli ..
Saint Anne - nesi ( japo ni mbishi sana)
Behaviourist - anakaa kwa mjomba wake ,mpenda chura.
GODZILLA - mwanasheria ,ana mikwara mingi.
Kiranga - doctor ,mbishi
miss chagga - ukiwa na hela tu akicheka huna
Saint Ivuga - muongo muongo
Hannah kazi yake ni kunipenda ,wife material

Msinifokeee
Yesu wangu Mimi
 
Twende na list nyingine naahidi sitokosea kwa mtu tuweke na I'd nikaangalia kwa sangoma
 
Back
Top Bottom