Hawa ni wageni wa kusini? Wana traits za ajabu!

Wana asili ya wapi? Tukianza na Wamakua?
Wamakonde Msumbiji ingawa kuna wanaosema Angola kabla ya kufika Msumbiji (sina uhakika na hilo), Wayao kuna waliotoka Msumbiji wengine Malawi, Wamakua Msumbiji ingawa pia wapo wanaosema wametokea Madagascar kabla ya kufika Msumbiji
 
Hahahaha.. eti nchi kama Malawi na Burundi zilianza kuishi watu na makabila mbali mbali kabla yetu, na pia baadae zikafanikiwa kupenyeza makabila yao ndani ya ardhi yetu huku sisi tukiwa hatuna wa kupenyeza ndan ya ardhi yao. Aisee inashangaza sana.
Hii hoja ni ya msingi sana,archaeologists waliopo humu waje waweke kumbukumbu sawa.
 
Ila nimeshaona Wamakuwa warefu tu high school, tena wengi. Hawa akina Mrope, jamaa mwingine Millanzi, Mmeto, Erio etc wote ni ma-tall. Wanaume wengi wao ni hb's. Pia hata huyu demu ni so cute
Sio kwamba hakuna WAREFU mkuu ila sio kwamba warefu wamejaa hapana, wengi ni wafupi tu. Kila kabila wapo warefu na wafupi, mimi nimesoma na wamakonde warefu mpaka unashangaa, lkn pia wapo wamakuwa warefu na miraba minne. Ila kwa ujumla wake wamakuwa wengi ni wafupi wanafanana na wamwera ambao pia warefu ni wachache. Wamakonde sio warefu na wala si wafupi wengini ni wale wa saizi ya kati ingawa wapo wafupi na wenye maumbo madogo sana. Ushawahi kumuona PASHA?? basi wamakonde wengi mno wako na urefu ule. Lkn sambamba na hilo utakutana na kimo cha kama HARMORAPA kibao pia. Inategemea na ukanda husika na hapa niseme wilaya ya Tandahimba kuna wafupi wengi kulinganisha na sehemu zingine za mkoa wa mtwara ukiachana na masasj ambako wamakuwa kwa kiwango kikubwa ni wafupi na wanene.
 
Sio kwamba hakuna WAREFU mkuu ila sio kwamba warefu wamejaa hapana, wengi ni wafupi tu. Kila kabila wapo warefu na wafupi, mimi nimesoma na wamakonde warefu mpaka unashangaa, lkn pia wapo wamakuwa warefu na miraba minne. Ila kwa ujumla wake wamakuwa wengi ni wafupi wanafanana na wamwera ambao pia warefu ni wachache. Wamakonde sio warefu na wala si wafupi wengini ni wale wa saizi ya kati ingawa wapo wafupi na wenye maumbo madogo sana. Ushawahi kumuona PASHA?? basi wamakonde wengi mno wako na urefu ule. Lkn sambamba na hilo utakutana na kimo cha kama HARMORAPA kibao pia. Inategemea na ukanda husika na hapa niseme wilaya ya Tandahimba kuna wafupi wengi kulinganisha na sehemu zingine za mkoa wa mtwara ukiachana na masasj ambako wamakuwa kwa kiwango kikubwa ni wafupi na wanene.
Hapo nimekupata kidogo. Na Harmorapa nilisikia ni Mmakonde.
 
Ukiondoa Watu wa kaskazini (Wachagga, Wameru, Wamasai) na watu wa kanda ya ziwa (Mostly Sukuma, Haya na Kurya)

Makabila mengine yote Tanzania ni WAFUPI.

Hawarefuki kwasababu hawali vizuri, ni wadhaifu dhaifu, wamekomaa na wanapenda Ngoma na Uswahili.

Yaani kuanzia Tanga kwa Wasambaa, wadigo mpaka huko kusini ni WAFUPI.

Lazima niseme UKWERII ndugu zangu
 
Labda ila wengi husingizia kuwa Wamakuwa! Hilo la ushamba nasikia kwako kwa mara ya kwanza.
Jiulize kati ya mmakonde na mmakua nani ana ujasiri wa kuzungumza lugha yake mbele ya makabila mengine? Wamakonde wanajivunia kabila lao na hawajifichi sio kama sisi wa Masasi wenzangu wamakua nasi wayao ndo tunaongoza kujifichaficha ni nadra sana kumsikia mmakua anajitambulisha kwa kabila lake
 
Halafu hapo juu kuna mwana kasema kuwa Wamakonde wengi wana sura zilizokomaa mno(sijajua ni asili yao au mazingira), wafupi na wamenyata. Hapo juu utaiona hiyo quote.

Wengi tu wageni husema hivyo, hata wasio wageni. Ila kama kuna ukweli hivi!!
Kaka we mmakua, mambo ya kunyata tunajua sisi tu huku kusini
 
Ukiondoa Watu wa kaskazini (Wachagga, Wameru, Wamasai) na watu wa kanda ya ziwa (Mostly Sukuma, Haya na Kurya)

Makabila mengine yote Tanzania ni WAFUPI.

Hawarefuki kwasababu hawali vizuri, ni wadhaifu dhaifu, wamekomaa na wanapenda Ngoma na Uswahili.

Yaani kuanzia Tanga kwa Wasambaa, wadigo mpaka huko kusini ni WAFUPI.

Lazima niseme UKWERII ndugu zangu
In Jiwe's voice. Hapo "wamekomaa", unamaanisha nini? Sura/uso au? Halafu mbona Wasukuma wafupi na Wachagga wafupi wapo wengi tu kaka? Unaishi dunia ipi bro?
 
Hapana, jamii zote Afrika zilizomix Ubantu na kabila zingine zisizo za kibantu kama Wairaq, Wamasai, Wasomali n.k zina sura nzuri zilizochongoka vizuri

Wabantu wana masura mapana hasa pua na lipsi.

Pia wana nywele ngumu kama katani
Hahahahahaha pia hata Wamasai wenye sifa hizo wapo, ukitaka uamini tembelea vijijini ambako wanaishi naturally, ndio utajua. Tena wa hivyo wapo wengi mno.
 
Jiulize kati ya mmakonde na mmakua nani ana ujasiri wa kuzungumza lugha yake mbele ya makabila mengine? Wamakonde wanajivunia kabila lao na hawajifichi sio kama sisi wa Masasi wenzangu wamakua nasi wayao ndo tunaongoza kujifichaficha ni nadra sana kumsikia mmakua anajitambulisha kwa kabila lake
Ooooh? Kumbe, karibu Morogoro.
 
Wakua kabila sana kusini mwa Afrika lenye makadirio wa watu mil 7.(1989)
Wako kwa wingi kaskazini ya Nchi ya Msumbuji majimbo ya Niassa, Zambezia, Cabo Delgado kwa Msumbuji na maeneo ya Durban city RSA,na kisiwa chote cha Madagascar(Antananarivo -limetoholewa kwenye lugha ya kimakua yaani mnaowahitaji wako huko--walikwenda kisiwa cha Madagasca kukimbia machafuko maeneo ya Bara)
Kwa Tanzania wapo wengi wilaya ya Masasi,Nanyumbu na sehemu ndogo ya wilaya ya Newala na walikuja wakitokea Msumbuji kwa kufuata makazi mapya na kukimbia machafuko(wamakua wanapenda sana amani)
Kwamba ni warefu au wafupi hilo haliko kwa wote inategemea mambo mengi.
Wamakua wengi ni wasomi na wako kwenye taasisi nyingi huko Msumbiji na Tanzania..na wameshika nafasi kubwa hadi za Urais.
Kwa uchache sisi ndio Wamakua.
 
Back
Top Bottom