Hawa ni top 15 wenye makalio makubwa ndani ya hollywood na utajiri wao

Money Stunna

JF-Expert Member
Aug 9, 2011
13,054
6,281

No.1. Jennifer Lopez


Anautajiri wa dola milioni $250 ,jinsi gani alipata hu utajiri,?? Nikutokana na uigizaji wake, Mfanyabiashara na kazi yake ya uimbaji. J-lo ni mwanada maaraufu mwenye maumbile makubwa ya makalio, ambayo yanafanya ashikile nafasi ya kwanza kwenye orodha ya wanawake maarufu Hollywood. Inarepotiwa kuwa mataka yake ameya weka bima ya dola milioni $27. Anapenda kujivunia kuonyesha assets yake hiyo kwenye magazines cover ya Stuff magazine mwaka 2001. Ambalo ni moja ya magazine iliyoweka histori ya rekodi ya gazeti lilouza kuliko. Kiukweli hilo **** limegharimu maelfu ya dola na sio chini ya hapo. ****** mengine ya nakuja na kuondoka lakini kwa Jlo atatumia kila kitu kulinda **** lake. Lol


No.2 Kim Kardashian

Anautajiri wa dola milioni $35, jinsi alivyo upata huo utajiri, ?? utajiriwake umetokana , umodel, uigizaji, mwanamkemfanyabiashara, Television Personality, na socialite. Anachukuwa nafasi ya pili kuwa ni mwanamke mwenye **** kubwa Hollywood, nalilionekana sana kwenye s*x tape ambayo alikuwa nimmoja ya maboyfriend wake maarafu sana. Naalishazushiwa kuwa ****** yake ni yakutengeza lakini yeye alikataa akasema no way its real.


3. Beyonce.

Anamiliki utajiri wa dola milioni $300 milioni. Jinsi gani alivyotengeneza utajiri?? Dada huyu anaingiza pesa zake kwa kuwa muandishi mzuri wa nyimbo, rekodi Producer, muigizaji, umodel, mvumbuzi wa mavazi, na ni mfanyabiashara. Anajiita “b**t-y-l-i-c-i-o-u-s” . Nahuyu anachukua nafasi ya 3 kwa kuwa na ****** makubwa Hollywood


No.4 Serena Williams

Anautajiri wa dola miliobi $85, nautajiri wake unatokana na uchezaji wa Tennis as Professional. Na nimaarufu kwa kwa kuwa na **** kubwa kwenye tennis, lakini kutoka kwa serena mwnyewe anasema kuna mwanamke mwenye ****** makubwa kuliko yangu huko nje nikisimama nae ni aibu tu.


No.5 Nicki Minaj

Anautajiri wa dola milioni $14 ambao umetokana na uandishi wa mistari yake na rapa, mwanadada huyo anapenda sana kuongelea kuhusu **** kila wakati, hata kwenye interview iliotokea New York post Nicki Minaj alikuwa anaongela kuhusu ruma za utengezaji wa ****** yake. “absolutely not” said Nicki Minaj alipokuwa anaulizwa kuhusu ****** ya kutengeneza , “people will pick anything to talk about , and that happens to be the thing at the moment’’. Alisema Nicki Minaj.

No.6 Vida Guerra


Anautajiri wa dola milioni 2.5 na amazitengeza kupitia kazi yake ya umodel. Wakati hajulikani kama wanawake wengine waliopo kwenye orodha yetu, Nyuma kwa Vida kunamilikiwa na dunia, alishinda FHM’s Best B*tt , kwenye the world award na sio mara moja. Ni model, muimbaji na mwigizaji lakini anajivunia kwa kujilikana kwa umbo la mwili wake. Kiukweli ameshinda tuzo ya best b*tt mara mbili .

No.7 Nicole “Coco” Austin


Anautajiri wa dola milioni 4 kutokana na umodel, reality Tv Personality , web personality. Hakuna wasi wasi wowote kuwa Mke wa Ice T , Nicole Coco Austine anajivunia mwili wake sana. Anapenda kupost picha za makalio yake sana kwenye Twitter,


No.8 Buffie Carruth

Buffie Carruth vile vile anajulikana kwa jina la Buffie The Body or simply Buffie, ni model kutokea Athens, Georgia anajulikana kunekana kwenye posing za hip hop zinaendana na magazine na kuonekana kwenye video za hip hop. Shukuru kwa model kama Buffie The Body the Big Booty” comple imefagia Us nzima nao inelekea to getting out of control.

No.9 Jessica Biel


Anautajiri wa dola milioni $ 18 , amepatamafanikio hayo kwa kuwa muigizaji, model na mwimbaji , anachukua nafasi ya 9 kwa kuwa na makalio makubwa kwa wanawake maarufu. Alianza kucheza kwenye tv kama mtoto wakike wa muhubiri. Lakini umaarufu wake ulitoke bada yakupiga picha ya utupu kwenye Gear Magazine akiwa na umri wa miaka 17.

10. Sofia Vergara


Anamiliki utajiri wa dola milioni 14, na utajiri huo unatokana na uigizaji, modeling , mtangazaji wa television na mjasiriamali. Ni muigiza wa modern family amefungasha kila mahali. Ni mdada mwenye kipaji, mzuri na ana makalio mazuri yenye mvuto sana. Ame shikilia namba tatu kwenye Askmen.com 99 Most Desirable Women wa 2011


11.Melyssa Ford

Anamiliki wa dola milioni 2. Na utajiri huo umetokana na uigizaji na umodeling , anashikilia nafasi ya 11 kwa kubarikiwa na **** nzuri. Kiukweli anajulikana kuwa naumbo zuri lenye mbinuko. Ameonyesha anavyotingisha ****** yake kwenye vido ya Jay-Z, Ghostface killah, na Mystikal, anajulikana mwanamke mweusi mzuri sana duniani.


No.12 Eva Mendes

Anamiliki utajiri wa dola milioni 12. Ambazo amazitengeza kwa kazi zake za uigizaji, model, uimbaji na ububifu. Eva Mendes maumbile yake yanaweza kumbadilishi shoga kuwa mwanaume waukeli, eva aliamuwa kutikisa dunia baada ya kutoka kwenye Peta akiwa mtupu. Kampeni ilifanyika rockeffeller Plaza. Like mamlaka ya jiji ili waambia waandaji wasi to mda kamili au sehemu itakapofanyika maana walikuwa wanaogopa kutengeneza Mob scene.


No.13 Halle Berry

Anamiliki utajiri wa dola milioni $70 , ambazo zinatokana na uigizaji , na ni former model anachukua nafasi ya 13 kwa kuwa na makalio makubwa holly wood. Na kucheza kwake kwenye movie ya swordfish na monster’s ball imemfanya halle Berry’s kutikisa Hollywood na kwenye orodha yetu anatinngisha pia kwa kuwa na makalio makubwa ndani ya Hollywood.

No.14 Scarlett Johansson.


Anautajiri wa dola milioni 35 ambazo amazitengeza kutokana na uigizaji wa movie. Anachukua nafasi ya 14 ya wanawake wenye makalio makubwa Hollywood, anamwili wenye mvuto sana kwenye big scree, ana anajivunia kuwa nao, na haya ni maneno yake. “im curvy-I’m never going to be 5’11 and 120 pounds” “ but I feel lucky to have what I have got” na tunafurahia kumuangalia lol


15. Shakira

Anautajiri wa dola milioni 140 ambazo amaezitengeza kwa kuwa mwimbaji, na mtunzi mzuri wa nyimbo na record producer. Hakukosea kusema Hips don’t lie na hata makalio yake vile never lie. Alichukua nafasi ya tatu kwenye Vote poll ya dunia ya best butt. Ya mtandao wa WENN.com. shakira alifunika kwenye album Laundry Service na kutingisha makalio yake juu ya stage.Imeandika kwenye http://infosourcestz.wordpress.com

 
hakuna makalio hapo hebu mcheki huyu anaitwa noni zondi kutoka kwa mzee zuma
noni-zondi.jpg
 
Hapo ni Buffie tu ndio kabeba t.a.k.o la ukweli ingawa akija bongo ni last..... ila anauza tigo kweli inalipa sana US...!!

Hao wengine wanajibenua tu hamna kitu..... nikiweka kitu cha bongo hapa, kutoka Singida au Arusha.... wanaume wenzangu boxer zitatoboka.....!!!
 
Ebu watuondolee kejeli hapa, linapokuja suala la makalio ,iwe kwa masupa staa au watu wa kawaida hakunaga kama Africa,labda watuletee mpango wa pua ndefu na vidomo mstari!
 
mh mbona kama udhalilishaji vile na mkishajua kuwa wana ******** makubwa kuna faida gani?:nimekataa
 
mh mbona kama udhalilishaji vile na mkishajua kuwa wana ******** makubwa kuna faida gani?:nimekataa

siyo udhalilishaji mkuu,wao wenyewe wanajipromo,unajua kwamba JLO ameyawekea makalio yake bima ya dolla million 27
 
...Acheni Utani na 'Shughuli' za watu jama! Kuna Masaburi Hapo?? Hayo ya Kuchonga?? Acheni Utani. Yaani hata Jessica Biel naye mnamuweka kwenye Orodha ya Walio na Kalio??? Mnachekesha...!!:becky:
 
I still don´t catch it,sasa bima hapa ni ya kulinda makalio in case yakipata ajali,au kivipi wajameni?

mkuu makalio yake ni ya kutengeneza siyo original muda wote yanaweza pata kansa,hivo ndio maana ameyawekea bima,natumain umenielewa sasa
 
Back
Top Bottom