Son of Gamba
JF-Expert Member
- Oct 26, 2012
- 4,358
- 6,073
Sikubaliani hata kidogo na hoja yako. Sisi wote tumepitia utoto na mimi binafsi nakumbuka yote niliyopitia na katika kumbukumbu zangu zote tokea nilipokuwa na miaka 4 mpaka leo sikumbuki kama kuna siku niliwahi kumtamani mama yangu. Ninachokumbuka, wakati nikiwa na umri huo, nilitokea kumpenda sana binamu yangu na nilikuwa namfeel mbaya. Lakini mama, haikuwahi kuingia akilini mwangu hata kidogo. Sijui lakini, labda wewe hiyo hali ilikutokea.Mtoto wa kiume huanza kupata hisia za kutamani wanawake kwa kumtamani mama yake kwanza. Ndiyo maana ni rahisi kusikia mtoto akisema 'nikiwa mkubwa nitamuoa mwanamke mzuri kama mama'. Japo hiyo kitu hupotea mtoto anapojitambua!