Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,326
- 92,520
Leo ni weekend tunagawana umaskini, atakayetaja wachezaji wa zamani waliopo kwenye picha hii kwa usahihi bundle la weekend litamuhusu.
Wataje.
Wataje.
Gagarino mauti yalimpata mapema zaidiApo hakuna Gagarino.wengi wao apo wameanza kucheza mwishoni mwa 70 na karibia wote wamestaaafu mwanzoni mwa 90.
Hapo hakuna Gaga wala Mogela.Namuona Hamisi Gagarino,Iddy Pazi,Omary Hussein,Boniface Mkwasa,Mohamed Mkweche,Mogella
Aya sawa..wapo nyumbani kwakoHapo hakuna Gaga wala Mogela.
Punguzeni chai
KEAGAN ni yupi hapo?Hapo nimemtambua CHALZ BONIFACE MKWASA MASTER NA OMARY HUSSEIN KEAGAN
Mwenye blue t shirtKEAGAN ni yupi hapo?
Mbina alishafariki siku nyingi sanaSaidi Mwamba Kizota
Kutoka kulia ni Charles Boniface Mkwasa, Idd Pazi "Father" , Makumbi Juma "Homa ya Jiji"Leo ni weekend tunagawana umaskini, atakayetaja wachezaji wa zamani waliopo kwenye picha hii kwa usahihi bundle la weekend litamuhusu.
Wataje.
View attachment 2256097