Hawa ni engineers au viongoz ?

Milestone

JF-Expert Member
Aug 11, 2012
379
407
Ni jambo la kushangaza kuona tuna engineers wengi ambao wamekuwa na msaada mdogo kutokana na elimu kwanza waliyopata ambayo inawaandaa kuwa viongozi ktk engineering na si vinginevyo !
 
usisishangae siku hiz kumuona Engineer anakuwa Bank Teller. Tatizo ni mfumo wa nchi ni mbovu , tunaomba Serikali wangekuwa wanawaajili engineers kama Madaktari wanavyoajiliwa , lakini kwa style iliyokuwepo sasa hiv , serikali inashindwa kuwaajili watu wao ,ikitokea project yoyote wanachukua engineers toka nje , kweli tutafika wakuuuu . Engineers wengine wanaamua kuungana na kufungua kampuni ,bcoz hawana fedha wanashindwa kuiendesha kampuni yao.... Tunaomba Serikali mutafute Suluhisho la suala hili....
 
Back
Top Bottom