Hawa Ng’umbi kutoa ushahidi wa kumng’oa Mnyika kesho

Habarindiyohiyo

JF-Expert Member
Aug 11, 2008
263
13
Kada wa CCM na Mkuu wa zamani wa Wilaya mbalimbali nchini kesho ataanza kutoa ushahidi wa kumng'oa kijana wa CHADEMA John Mnyika asiwe mbunge wa Ubungo.

Kada huyo ataambatana na wanachama wengine wa CCM kutoka kata mbalimbali ambao nao wamejiandaa kutoa ushahidi mzito wa kumuunga mkono Mheshimiwa Ng'umbi.

Kesi hiyo itasikilizwa katika mahakama ya kazi iliyopo mjini jirani na vyuo vya CBE na DIT kuanzia saa 3 asubuhi.

Kesi hiyo imetajwa leo mbele ya Jaji Msuya na Wakili wa Hawa Ng'umbi ametakiwa kuwasilisha leo vielelezo vya ushahidi huo mzito dhidi ya Mnyika ili kesho Ng'umbi aweze kutoa maelezo yake.
 
Wabunge wa CDM watapukutika wote mwaka huu. Lema ndiyo huyoo amekalia kuti kavu.

Kumbe karibu wote wana kesi? Inaonekana walicheza faulu nyingi wakati wa uchaguzi.
 
Kwani Mnyika naye alikimbia na masunduku ya KURA kama Dk. Makongoro Mahanga? CDM mwaka huu wana kazi kwani baada ya kuikombea Arumeru itabidi waende tena Segerea. Sidhani kama Makongoro atapona? Waziri mzima anaiba masanduku ya kura?
 
ningekuwa mimi na ngumbi ningefuata ushauri wa salakana wa moshi mjini wa ccm hata uchaguzi ukirudiwa leo hii utashinda kama jawabu ni NO why contest ni kuwapotezea muda wananchi tu. sababu zote atazozitoa ngumbi haziwezi ku justify tofauti kubwa ya kura nyingi namna ile.
 
Wana UBUNGO hatumtaki mnyika na tumeshafafanua kero zetu zote, kwanza hatujui kama anaishi dar na tunamuona kwenye TV tu, nitawaunga mkono hao watu na ikibidi uchaguzi uitishwe mara moja, UBUNGO tupo kama mayatima hatujui nani mbunge wetu, anasubiri magufuli aje afungue kituo cha daladala ndo aonekane.
Inshort tunajuta kumchagua kuwa mbunge na hatutorudia kosa hili kamwe na yeye anajua hili.
 
Mnyika yuko busy na maandamano ya kudai maji; huku akitakiwa mahakamani wiki hii ya maji; MAKUBWA!!!
 
Wabunge wa CDM watapukutika wote mwaka huu. Lema ndiyo huyoo amekalia kuti kavu.

Kumbe karibu wote wana kesi? Inaonekana walicheza faulu nyingi wakati wa uchaguzi.

Mie ninachojua kesi zinazosikilizwa kwenye mahakama ya ardhi huwa zinahusiana na mambo ya ardhi, sasa kesi hiyo itamng'oa vipi ubunge? hapo niweke wazi mkuu.Kesi ya kumg'oa mbunge cheo hicho ni kesi ya uchaguzi ambayo sina uhakika kama inazungumziwa ktk mahakama ya ardhi. Naomba muweka mada utueleze vizuri kesi hiyo ya ardhi mnyika alifanya nini?
 
ningekuwa mimi na ngumbi ningefuata ushauri wa salakana wa moshi mjini wa ccm hata uchaguzi ukirudiwa leo hii utashinda kama jawabu ni NO why contest ni kuwapotezea muda wananchi tu. sababu zote atazozitoa ngumbi haziwezi ku justify tofauti kubwa ya kura nyingi namna ile.

HAKI iliyopotea ni wajibu kuidai; Hawa Ngumbi yuko katika mstari
 
Wabunge wa CDM watapukutika wote mwaka huu. Lema ndiyo huyoo amekalia kuti kavu.

Kumbe karibu wote wana kesi? Inaonekana walicheza faulu nyingi wakati wa uchaguzi.

Hivi kweli unaweza kuamini kwamba wapinzani walikuwa na nafasi ya kucheza mchezo kwenye huo uchaguzi??? Sehemu nyingi walizoshinda wapinzani zina matatizo kwa vile yalikuwa created na CCM wakati wakijitahidi kuyashikilia mpaka waliposhindwa kabisa ndiyo wakaachia. Sasa wanataka kuitumia humihili wa mahakama kuwafanyia mazingaombwe ambayo NEC yaliwashinda.
 
Wabunge wa CDM watapukutika wote mwaka huu. Lema ndiyo huyoo amekalia kuti kavu.

Kumbe karibu wote wana kesi? Inaonekana walicheza faulu nyingi wakati wa uchaguzi.

CCM wasipate shida ya kujishika na mahakama. Waitishe chaguzi kesho asubuhi Ubungo na Arusha mjini. Very simple!
 
Wana UBUNGO hatumtaki mnyika na tumeshafafanua kero zetu zote, kwanza hatujui kama anaishi dar na tunamuona kwenye TV tu, nitawaunga mkono hao watu na ikibidi uchaguzi uitishwe mara moja, UBUNGO tupo kama mayatima hatujui nani mbunge wetu, anasubiri magufuli aje afungue kituo cha daladala ndo aonekane.
Inshort tunajuta kumchagua kuwa mbunge na hatutorudia kosa hili kamwe na yeye anajua hili.

We mwana ubungo wa wapi usio kuwa na akili na una chembe ya wizi na ufisadi
 
huyu hawa ngumbi anampotezea muda mnyika wa watu ,ni imani yangu kwamba jamaa ni jembe hivyo alishinda kihalali kwa kura za wakazi wa ubungo,hizi ni tapatapa za mfa maji
 
Wabunge wa CDM watapukutika wote mwaka huu. Lema ndiyo huyoo amekalia kuti kavu.

Kumbe karibu wote wana kesi? Inaonekana walicheza faulu nyingi wakati wa uchaguzi.

kakalia kuti lp?Hujui kuwa magamba mmelamba dume kwa lema!!?Lema ni dawa ya magamba.
 
Kwani wale aliowatisha kwenye mdahalo kuwa atawafungulia mashitaka kishawapeleka kwa pilato?
 
Wana UBUNGO hatumtaki mnyika na tumeshafafanua kero zetu zote, kwanza hatujui kama anaishi dar na tunamuona kwenye TV tu, nitawaunga mkono hao watu na ikibidi uchaguzi uitishwe mara moja, UBUNGO tupo kama mayatima hatujui nani mbunge wetu, anasubiri magufuli aje afungue kituo cha daladala ndo aonekane.
Inshort tunajuta kumchagua kuwa mbunge na hatutorudia kosa hili kamwe na yeye anajua hili.

We hamnazo kweli.
 
Kesi hiyo itasikilizwa katika mahakama ya kazi iliyopo mjini jirani na vyuo vya CBE na DIT kuanzia saa 3 asubuhi mahakama ya kazi? hii ni kesi inayohusu nini?

Ndugu LAT: Ninafikiri ni typos hizo mleta hoja alikuwa na maana ya Mahakama ya KADHI.

Kama kesi iko mahakama ya KADHI I'm sure itakuwa ni kesi ya MIRATHI na TALAKA. na wala sio kesi ya uchaguzi.
 
Wana UBUNGO hatumtaki mnyika na tumeshafafanua kero zetu zote, kwanza hatujui kama anaishi dar na tunamuona kwenye TV tu, nitawaunga mkono hao watu na ikibidi uchaguzi uitishwe mara moja, UBUNGO tupo kama mayatima hatujui nani mbunge wetu, anasubiri magufuli aje afungue kituo cha daladala ndo aonekane.
Inshort tunajuta kumchagua kuwa mbunge na hatutorudia kosa hili kamwe na yeye anajua hili.

Unavyoandika inaonekana si mkazi wa ubungo kwa taarifa yako ww ni kibaraka niona thread yako ya jinsi ya ccm kuimaliza cdm
Ngoja nikuambie kijana o jike mnyika anafanya kazi na atapiga kazi na anaiweza kazi jimbo la ubungo ndo lenye wakazi wengi sana
Mnyika juzi alikuwa kwenye ufutialiaji wa maji mm mkazi wa ubungo na najua anachofanya
Anafanya mikutano kusikiliza kero za wananchi na kuzitekeleza na baadaye kutoa ripot
 
Kwani Mnyika naye alikimbia na masunduku ya KURA kama Dk. Makongoro Mahanga? CDM mwaka huu wana kazi kwani baada ya kuikombea Arumeru itabidi waende tena Segerea. Sidhani kama Makongoro atapona? Waziri mzima anaiba masanduku ya kura?

Hayo masanduku ya kura za wizi ndio yaliyompa uwaziri,
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom