Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kitambo kidogo kimepita tangu wahusika wa kazi ya uandikishaj wa wapiga kura(NEC) waanzishe zoezi la kuandikisha kwa mfumo mpya wa uandikishaj wa BVR, zoezi ambalo limegubikwa na changamoto mbalimbali ambazo kwa hakika kabis NEC walijua ni lazima zitatokea hata kama hawakujua ni kwa kiwango gan hasa. Katika changamoto zote zilizopo swala la watu kutokuandikishwa lingepaswa licwepo kabs hata kwa garama yyte! Kinachosikitisha ni kwamba malalamiko mengi yametokea kila mahali walipopita hawa waandikishaj kuhus watu waliobaki bila kupata vitambulisho, hayo mm cna uhakika nayo coz ckuwepo huko ila kuna hili linalo nihusu kwamba mkoa wa Arusha uandikishaji ulianza june 6 na unatarajiwa kuisha july 7. Katika wilaya mbalimbli zoezi limeendelea kwa shida kulingana na idadi kubwa ya watu ukilinganisha na mashine za BVR, ss kinacho umiza kichwa ni kuhusu kata ambazo zimesalia ikiwemo ninayoishi kata ya usa river ETI WAMEAHIRISHA UANDIKISHAJI MPAKA TAREHE ISIYOJULIKANA LAKIN NI MWEZI WA SABA, SS SIJUI WANATUTAFUTA NINI WATU WA ARUMERU KWASABABU TUNAJUA NI HAKI YETU KUANDIKISHWA. PIA KWA HILI TUKIANDAMANA MTASEMA TUNAENDESHWA AU NI HAKI YETU TUTAKUWA TUNADAI?!?
mnamuoneea jaji lubuva bure. sasa angefanyeje? labda wale ambao hawajaandikishwa wafanyiwe operation ya kuwaandika kwenye daftari la kawaida kama chaguzi zilizopita kama dharura in case.
basi acheni kulalama.unaposema daftar la kawaida ujue pamoja na waliojiandikisha kwny bvr wanaweza wakarudiwa ikawa mtu mmoja ajiandikishe hata mara nne na ndo hapo watanzania watakapo shindwa kukubaliana na matokeo ya uchaguz mkuu ije kuwa balaa!