runtown
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 816
- 1,080
Juzi nilikua naskiliza redio CITIZEN majira ya sa tatu baada ya tarifa ya habari mara naskia mtangazaji anauliza swali na kuahidi Ksh5000 kwa atakaepatia swali lenyewe lilikua " jakaya mrisho kikwete alikua president wa nchi gani" hivi ni kwel wakenya hamjui au yule mtangazaji ni muongo
Sent using boeing 737 max8
Sent using boeing 737 max8