Hii imetokea lini mkuu na Maeneo Gani ? Namuona Teacher hapo Dereva wa Kyela Express.Nchi ngumu sana hii imagine hawa ndo wanapaswa kua mfano wa kutii sheria bila shuruti.View attachment 2012663View attachment 2012664
Kimara Suka leo asubuhi.Hii imetokea lini mkuu na Maeneo Gani ? Namuona Teacher hapo Dereva wa Kyela Express.
Mmhh, kweli kaka?Kimara Suka leo asubuhi.
Hapo mbona kama sijaelewa vile. Maana naona kama vile hao polis walitaka kuovertake mwenzie pasipo kuangalia mbele kama kuna gar inakujaKwa mujibu wa forwarded text iliyosambaa huko WhatsApp Inasemekena ,
Dereva wa lorry ndio alisababisha hiyo ajari na yupo mahabusu.
Inasemekana ni ajali iliyohusisha gari nane.
Mkuu siku ya kikukuta utajua umuhimu waoYani kama kuna watu sitaki mazoea nao hapa duniani ni polisi. Nadhani hata wao wakiniona tu wanajua jamaa hatupendi.
Aisee🤣🤣Yani kama kuna watu sitaki mazoea nao hapa duniani ni polisi. Nadhani hata wao wakiniona tu wanajua jamaa hatupendi.
Nchi ngumu sana hii imagine hawa ndo wanapaswa kua mfano wa kutii sheria bila shuruti.
View attachment 2012664