The Hunter
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 1,049
- 305
Hivi kuna mwana jf yeyote ambaye anaweza akawa na picha zinazoto sura walau hata ya askari mmoja tu wa Kikwete pindi alipokua akitekeleza amri ya kuwanyunyizia Wa-Tanzania wenzake risasi kama maji.
Yeyote mwenye picha za aina hiyo atuwekee hapa jamvini kwani wananchi tunataka kuwatambua na pia kupeleka salamu za aina hiyo hiyo ama kwa mhusika au vinginevyo uchungu huu utakavyotutuma.
Tafadhali mwenye picha hizo asicheleweshe.
Wapo kazini. msiwafundishe cha kufanya. msitake watumie akili wakati nyinyi hamchanganyi akili za kuambiwa na zenu.
Alaaniwe Dr. Slaa kutumia raia kutekeleza azma yake ya kumwaga damu.
Polisi eee!! msiruhusu kikundi kidogo kikachafua amani ya watanzania tulio wengi.
hao pamoja na serikali yao si watanzania ni wanyama wa kuzimu