hapo ndio umesema,bora apewe sugu halafu PM awe shibuda.Joseph Mbilinyi (Sugu) for president 2015.
hapo ndio umesema,bora apewe sugu halafu PM awe shibuda.Joseph Mbilinyi (Sugu) for president 2015.
Baba yako Mzazi hujamuweka
Wakati imebakia miaka mitatu na nusu tu kupata Rais mwengine Tanzania, kwa maendeleo ya nchi yetu katika karne hizi kuna viongozi wawe wametangaza au hawajatangaza nia ya kuwa Rais wa nchi yetu hawafai. Tafakari kwanza kabla hujapinga na ongeza majina bila upendeleo wa aina yoyote. Maneno ya kashfa yanapotajwa majina hayatosaidia:
1. Kabwe Zitto
2. Lukuvi
3. Lowassa
4. Nahodha
5. Mbowe
6. Sitta
7. Tibaijuka
8. Huseni Mwinyi
9. Pinda
10. Magufuli (labka Waziri Mkuu)
11. Wassira
12. Slaa
13. Aman Karume
14. Maege
15. Shibuda
16. Membe
17........
18......
..........
.........
Wakati imebakia miaka mitatu na nusu tu kupata Rais mwengine Tanzania, kwa maendeleo ya nchi yetu katika karne hizi kuna viongozi wawe wametangaza au hawajatangaza nia ya kuwa Rais wa nchi yetu hawafai. Tafakari kwanza kabla hujapinga na ongeza majina bila upendeleo wa aina yoyote. Maneno ya kashfa yanapotajwa majina hayatosaidia:
1. Kabwe Zitto
2. Lukuvi
3. Lowassa
4. Nahodha
5. Mbowe
6. Sitta
7. Tibaijuka
8. Huseni Mwinyi
9. Pinda
10. Magufuli (labka Waziri Mkuu)
11. Wassira
12. Slaa
13. Aman Karume
14. Maege
15. Shibuda
16. Membe
17........
18......
..........
.........
Wakati imebakia miaka mitatu na nusu tu kupata Rais mwengine Tanzania, kwa maendeleo ya nchi yetu katika karne hizi kuna viongozi wawe wametangaza au hawajatangaza nia ya kuwa Rais wa nchi yetu hawafai. Tafakari kwanza kabla hujapinga na ongeza majina bila upendeleo wa aina yoyote. Maneno ya kashfa yanapotajwa majina hayatosaidia:
1. Kabwe Zitto
2. Lukuvi
3. Lowassa
4. Nahodha
5. Mbowe
6. Sitta
7. Tibaijuka
8. Huseni Mwinyi
9. Pinda
10. Magufuli (labka Waziri Mkuu)
11. Wassira
12. Slaa
13. Aman Karume
14. Maege
15. Shibuda
16. Membe
17........
18......
..........
.........
NyalanduHAPANA
A. Nape Nnauye
B. William MGONGO Malecela
C. William Ngeleja
D. Sijui Jina lakini Ni Naibu waziri kaoa former Miss TZ
E. PRINCE
Siipendi CCM lakini Labda Kidogo January Makamba
UKO sahihi kabisa,haya ni mawazo binafsi, nobody is restricted to think regardless to the content ya anachofikiria.labda angeacha hii kitu iwe under own prejudices. Watu watoe views zao then baadae angekuja nae kutoa views zake, bt yupo sawajnamkosea heshima mwana jamii mwezako, just say sikuungi mkono, lakini mpaka kufika kwa baba yake is below the belt, Hii forum yetu inahitaji referee
hapa ndo inaponikera jf kua na ushabiki wa siasa hata penye ukweli hujifanya hawauoni, hivi kweli huu uzi unakosa hata kauli za wapinzani ambazo kwa sasa nigumzo? aaaagggghhhh mna boa bwana , simameni kwenye ukweli ili jukwaa liheshimike sio kukurupuka tu na mapenzi ya vyama vyenu, nyie ndio mnaofanya sote humu jf tuonekane kijiwe cha umbea na majungu.