Nicholas J Clinton
JF-Expert Member
- Mar 13, 2014
- 877
- 486
Hawa wanasiasa ni wazalendo wa kweli na wanahaminika licha ya changamoto zao za kibinadamu na kati yao wanaweza kuleta ustawi bora wa raia wetu na ndo pekee kati yao wapewe nchi yetu hawa ni pamoja na Dr Slaa, Lowassa, Mbatia na Zitto wanasiasa hawa influence yao ni kubwa sana na tunaitaji kuwapa nafasi ili tulijenge TAIFA