Hawa ndo Kuku wa Malawi

92mtl

JF-Expert Member
Jul 7, 2016
461
308
Wadau, nimefuga kuku wa Malawi. Nilichukua vifaranga kama 200 sasa hivi wanaendelea vizuri ni wiki ya 4 sasa.

Kwa mliotangulia naombeni msaada. Je, hawa kuku kuna haja ya kuwalisha hata usiku?

1468868329807.jpg
 
Mkuu 92mtl umewapata wapi hao kuku na mimi nahitaji kujua ninaplan za kuanza kufuga hivi karibuni.
 
Hakuna haja mkuu, wiki 4 za kuwalisha usiku Na mchana zinatosha kabisa. Walishe asubuh labda Na mchana tu basi.
 
asante mzaz maana nilikua nishaanza kupagawa wanavyo kula aiiiseee
 
Wadau, nimefuga kuku wa Malawi. Nilichukua vifaranga kama 200 sasa hivi wanaendelea vizuri ni wiki ya 4 sasa.

Kwa mliotangulia naombeni msaada. Je, hawa kuku kuna haja ya kuwalisha hata usiku?

View attachment 367361
Hongera ndugu! Kwa hatua uliyoifikia, Mimi nimeshawahi kuwafuga ni mwaka mmoja tu saizi nimeanza kufuga kuku aina ya kuchi.

Ili uweze kuwatunza vizuri chakula Mara nyingi inatakiwa ukiwapa asuubuhi cha kutosha ,huwezi kuongeza , na sijajua mchanganyo wako unawapaje?
Hata hivyo ukiwazowesha kuwapa Mara mbili itakuja kukutesa sana wakiwa wakubwa.
Nakusihi kama wameshafunga manyoya Yale magumu usiku unatakiwa usiwashe taa , lengo la kufanya hivyo ni kuwafanya walale.
Na kama hiyo haitoshi kama unawaachia mwanga kwa ajili ya kuongeza joto tafuta njia mbadala ya kuwapatia joto
Pia kuna mdau amekusihi juu ya chanjo fuatilia mwanzo mwisho, hatua zote.
Kiufupi wanalipa Ukiwatunza vizuri .
 
hawa kuku kwa sasa wana patikana maeneo mengi tz ktk poutry productions wanaenea kwa kasi maana kuku hawa ni madini wana vumilia kila hali na magonjwa hapo morogoro wapo ngoja nikutafutie namba za wahusika kwa huko but mi nili combine na washkaji Tukaagiza 1000 wale og malawi kabisa maana nilipo ni mpakan kabisa na malawi then tuka gawana hata hapa nilipo wapo lakin kwa order
 
Mkuu 92mtl umewapata wapi hao kuku na mimi nahitaji kujua ninaplan za kuanza kufuga hivi karibuni.

ukiwa tayari nambie baba wana patikana kirahisi tu
 
hawa kuku kwa sasa wana patikana maeneo mengi tz ktk poutry productions wanaenea kwa kasi maana kuku hawa ni madini wana vumilia kila hali na magonjwa hapo morogoro wapo ngoja nikutafutie namba za wahusika kwa huko but mi nili combine na washkaji Tukaagiza 1000 wale og malawi kabisa maana nilipo ni mpakan kabisa na malawi then tuka gawana hata hapa nilipo wapo lakin kwa order
Mkuu hongera kwa hatua hiyo,vipi umesema wanapatikana ukitoa order.Vipi gharama zake zikoje??Vipi naweza kupata baada ya muda gani tangu siku ya kutoa order??
 
Mkuu hongera kwa hatua hiyo,vipi umesema wanapatikana ukitoa order.Vipi gharama zake zikoje??Vipi naweza kupata baada ya muda gani tangu siku ya kutoa order??
Ili kupangiwa muda ina bidi useme

1.una hitaji vifaranga wangapi
2.wa umrigani?

NB: vifaranga wana tofautiana bei kulingana na umri unao chukulia na mahala wanako patikana

kwa hapa nilipo

Wasiku 1=2000
kuanzia wiki 1-2 =3000
wiki 2-4=5000

Muda wa order hauzidi siku 22
 

Similar Discussions

4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom