Hawa ndiyo watakaoichagua CCM Igunga?

Dullo

JF-Expert Member
Oct 24, 2009
251
64
http://4.bp.blogspot.com/-AsKH2Z88C...nzugi%2C+Kata+ya+Igunga+Vijijini%2C+jana..jpg
Shamrashamra na hoihoi zikirindima katika viwanja vya soko la Mwanzugi Kata ya Igunga Vijijini, baada ya mgombea ubunge wa CCM, Dk. Dalaly Kafumu kuhutubia mkutano wa kampeni jana6. Khadija Kopa wa TOT akihamasisha kwenye mkutano wa CCM eneo la Mwanzugi Kata ya Igunga Vijijini
http://1.bp.blogspot.com/-9HpEzlh2B...cha+Mwanzugi+Kata+ya+Igunga+Vijijini+jana.jpg
Mratibu wa kampeni za CCM Igunga, Mwigulu Nchemba akihutubia maelfu ya watu, kijiji cha Mwanzugi Kata ya Igunga Vijijini jana
http://4.bp.blogspot.com/-xve60Ernz...+eneo+la+Mwanzugi+Kata+ya+Igunga+Vijijini.jpg
Maelfu ya watu wakiwa wamefurika kwenye mkutano wa kampeni za CCM eneo la Mwanzugi, Kata ya Igunga Vijijini, jana wakimsikiliza mwanamuziki wa Taarab Khadija Kopa kutoka kundi la TOT.

MY NOTE: Hawa watoto wanaojzwa katika mikutano ya CCM ndiyo wapiga kura? Au ni kutaka kuwaongopea watanzania kwamba wanajaza watu katika mikutano yao.

Nawasilisha kwa wanaJF
 
mtu mzima mwenye akili timamu atakwenda kusikiliza nini kwenye mkutano wa ccm, watoto wanakwenda kusikiliza taarabu
 
watoto nyomi wameenda kucheki maigizo ya kina Joti. aiseeee.....
 
vuta subira tu, tarehe 2 oktoba 2011 sio mbali sana, tutaona wapiga kura wako wapi. Uchaguzi haishindwi kwa picha za umati mkubwa watu uwe wa watoto wa shule, vijana hata wazee. Uchaguzi unashindwa kwa kura zinapigwa na watu walijiandikisha na ambao wataenda kwenye vituo vya kupiga kura siku ya kupiga kura na kupiga kura zao kwa usahihi. Hayo mambo mengine yote ni ngonjera tu.

Kwanza naamini kuna watu wengi sana ambao hawaendi kwenye mikutano na mikusanyiko mingine ya kampeni lakini siku ya uchaguzi wanawahi mapema kwenye vituo vya kupiga kura na kutumia haki yao kutoa hukumu kupitia karatasi ya kura na kisanduku.

Hivyo nasema tena tufute subira kwani wahenga walisema subira yavuta heri
 
wanakwenda na pipi wanawagawia watoto ndiyo maana wako wengi
 
Wanaandaa wapiga kura wa 2050 Baada ya kukaa bench kwa zaidi ya miaka 50 kama chama pinzani wanaandaa mtaji wao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom