Avatar
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,127
- 11,908
hizi ndo chotara ee
hizi ndo chotara ee
kweli MKUU daah RIPshhh ashafariki huyo mkuu
Salawi ndio wapi?Dr winani from Tarime pia mkewe ni mzungu, bila kumsahau Dr Sanga lecturer st john pia mkewe ni mzungu, ila huku mtaan kwetu sie tunajiachia na waarabu na wahindi mazalia, karibu sana salawi upate wife materia rangi nyeupe ( waarabu na wahindi)
Sio kweli, mbona Mr Paul, Prof mbilinyi wako vizuri wenza waoHivi ni kwanini waafrika wanapo oa wazungu ni lazima hao wazungu wawe ma-rejects huko watokako? Kuna uhusiano gani mwaafrika kuoa mzungu aliye reject na uzuri? Sijawahi kuona mwanamke mzuri wa hawa wazee wetu, je....ilikuwa ni ngekewa tu ya kuoa mzungu ili aonekane wa maana au?
wote wanakuwa Na curry ,Kwanini muafrica akioa muhind au muarabu nywele za mtoto zinakuwa za kiarabu tofaut na akizaa na mzungu nywele zinakuwa hazieleweki
Sio kweli, yaani Romania, Bulgaria, Hungary, Serbia , Bosnia, etc, kuna maisha mazuri?Hao wa magharibi ndio wanaenda huko mashariki kutafuta maisha sikuizi, uliza waliopo huko mashariki sasa hivi wakuambie.
Shinyanga huko mkuu bila shaka..nadhani ni Salawe
Ana wakw wawili , waislam wanaruhusiwaUyo dada laba kimada ila mke wake mswizi hata family yake yote iko uswizi Bongo anakujaga kuchuma na kusepa
Yule jambazi alikuwa na mke mzungu?Jombi,, hope wahenga kidgo hapa mbeya mtakuwa mnamjua
Mshaanza misifa ya kijinga wahaya nyie.duhWee ni muongo mke wa Kingunge ni muhaya wa kamachumu,Muleba Ila ana asiri ya India.Anaongea kihaya pure.Hana unasaba wowote na Uzungu.
Hosptali rebuDr winani from Tarime pia mkewe ni mzungu, bila kumsahau Dr Sanga lecturer st john pia mkewe ni mzungu, ila huku mtaan kwetu sie tunajiachia na waarabu na wahindi mazalia, karibu sana salawi upate wife materia rangi nyeupe ( waarabu na wahindi)
Kafia gheto Ngoma Kali sanaHussein machozi na yeye kaoa mzungu