Hawa ndiyo wahenga Bongo waliooa wazungu

Dr winani from Tarime pia mkewe ni mzungu, bila kumsahau Dr Sanga lecturer st john pia mkewe ni mzungu, ila huku mtaan kwetu sie tunajiachia na waarabu na wahindi mazalia, karibu sana salawi upate wife materia rangi nyeupe ( waarabu na wahindi)
Salawi ndio wapi?
 
S
Hivi ni kwanini waafrika wanapo oa wazungu ni lazima hao wazungu wawe ma-rejects huko watokako? Kuna uhusiano gani mwaafrika kuoa mzungu aliye reject na uzuri? Sijawahi kuona mwanamke mzuri wa hawa wazee wetu, je....ilikuwa ni ngekewa tu ya kuoa mzungu ili aonekane wa maana au?
Sio kweli, mbona Mr Paul, Prof mbilinyi wako vizuri wenza wao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom