Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Hata wasipo pata third chance ya kuingia bungeni hawatakuwa marofa kama wewe ulivyo lofa.
Vipindi viwili bungeni tayari washajiwekea vitega uchumi vya kuyaendeleza maisha yao wakiwa nje ya bunge.
Vipindi viwili bungeni tayari washajiwekea vitega uchumi vya kuyaendeleza maisha yao wakiwa nje ya bunge.
Mi naongeza wale makamanda watiifu watavyobaki bila ubunge ili hali wametii mpka mwisho.
1, G lema
2, JJ mnyika
3, E buraya
4, M 2 Sugu
5, H Mdee
6 F Mbowe
7 kwa mbaaali namuona E matiku
8 J Heche
Wengine ongezea,
Nadahani hawatakuwa na tofauti na hao wa CCM, wote wamekalia kuti kavu,