JOB SEEKER
Senior Member
- Aug 1, 2011
- 145
- 33
Wana JF
Wana JF tunao maadui wa mswada wa Katiba mpya
kwa miaka 50 inayokuja katika Taifa la Tanzania.
hawa maadui tunatakiwa kuwapinga vikali katika mchakato
wa katiba mpya inayokuja.
Maadui wameonyesha ubnafsi katika mchakato huu na kuchukua
nafasi ya watanzania
Maadui hawa ni pamoja na wabunge wa ccm na cuf, AG,Waziri wa sheria na katiba pamoja na mkuu wa nchi
watu hawa ni hatari na ni janga la kitaifa kwa miaka hamsini ijayo ndugu
zangu.tunatakiwa kutumia busara zenye utaifa kuliko kufikiri ccm au cuf
itanufaika vipi na mchakato huu,Mfano mzuri ni katika miaka hamsini ijayo
tunaweza tusiwepo na cmm wala cuf bali watanzania bado watakuwapo.
Ninatoa rai kwamba maadui hawa pamoja na wengine namna hii wapingwe
vikali kwa namna yoyote ile kwani ni kikwazo juu ya haki ya watanzania wa
Wana JF tunao maadui wa mswada wa Katiba mpya
kwa miaka 50 inayokuja katika Taifa la Tanzania.
hawa maadui tunatakiwa kuwapinga vikali katika mchakato
wa katiba mpya inayokuja.
Maadui wameonyesha ubnafsi katika mchakato huu na kuchukua
nafasi ya watanzania
Maadui hawa ni pamoja na wabunge wa ccm na cuf, AG,Waziri wa sheria na katiba pamoja na mkuu wa nchi
watu hawa ni hatari na ni janga la kitaifa kwa miaka hamsini ijayo ndugu
zangu.tunatakiwa kutumia busara zenye utaifa kuliko kufikiri ccm au cuf
itanufaika vipi na mchakato huu,Mfano mzuri ni katika miaka hamsini ijayo
tunaweza tusiwepo na cmm wala cuf bali watanzania bado watakuwapo.
Ninatoa rai kwamba maadui hawa pamoja na wengine namna hii wapingwe
vikali kwa namna yoyote ile kwani ni kikwazo juu ya haki ya watanzania wa