mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 626
- Thread starter
- #21
Limetokana na vita ya majimaji miaka hiyo....wakiwa porini front line babu yangu alikuwa anashika chuma fulani hivi kwa hajiri ya kunoleaTUNAOMBA ufafanue jina lako "mshikachuma" huku pwani ya mombasa linaleta utatanishi
zana za kivita (za kijadi) kama vile sime,mapanga na mishale. So wenzie wakamuita Mshikachuma kutokana na kitengo chake