vevenononombo
JF-Expert Member
- Jun 19, 2015
- 1,289
- 420
Baada ya mbuge wa Geita kuaga dunia, hawa ndio baadhi ya wawania jimbo hilo na mmoja wao anaweza kuwa ndiye mbunge nitawapanga kwa uzito wa mgombea na nafasi yake ya kushinda.
1. Ndg Rogers Luhega(CHADEMA) huyu kwa sasa ndiye gumzo la mji ,ni msomi wa elimu ya miamba,tatizo kubwa kwake ni viongozi wenzie ndani ya CHADEMA,ila ikiwa atapitishwa na chama basi ushindi ni asubuhi na mapema.
2. Joseph Msukuma, huyu ni mfanyabiashara mkubwa na mwenyekiti wa CCM mkoa na diwan wa kata ya Nzela,kielimu ni standard seven,ingawaje anakubalika pia miongoni mwa wanageita.
3. Ernest Mabina huyu ni Mbunge wa zaman wa jimbo la Geita ni msomi mzuri,na anahusiswa na kuwa kwenye kitengo maalum ktk serikali,anaweza kutoa ushindani mkubwa kwa wapinzani.
4. Mangilima huyu ni kiongozi ndani ya mgodi wa Geita GGM,ana pesa na anaweza kuwa mtu wa pili kwa ushawishi ndani ya CHADEMA baada ya Rogers ingawaje bado si mtu wa kuaminika kwa siasa za upinzani.
5. Misalaba huyu ni mfanyabiashara mzuri na anajijenga kwa sasa kimtandao elimu yake ni utata kidogo ingawaje anaweza kusimama vizuri.
6. Sikwambi huyu naye amejitosa na ushawishi wake si mkubwa sana.
7. Innocent huyu nae yuko ktk mbio hizo ni msomi wa chuo kikuu na mwanaharakati isipokuwa,hana mke,aoe kwanza ndio aje tumfikirie kumpa madaraka.
8. Vick Kamata huyu ni viti maalum lakini ni ngumu sana kupitishwa na CCM.
9. Jonathan huyu ni Mzee na msomi mzuri lakini itakuwa ngumu sana kuteuliwa na chama chake.
10. Robert Muta huyu nae ana nia ila ni Mhaya wa Bukoba anaetaka jimbo la Geita.
1. Ndg Rogers Luhega(CHADEMA) huyu kwa sasa ndiye gumzo la mji ,ni msomi wa elimu ya miamba,tatizo kubwa kwake ni viongozi wenzie ndani ya CHADEMA,ila ikiwa atapitishwa na chama basi ushindi ni asubuhi na mapema.
2. Joseph Msukuma, huyu ni mfanyabiashara mkubwa na mwenyekiti wa CCM mkoa na diwan wa kata ya Nzela,kielimu ni standard seven,ingawaje anakubalika pia miongoni mwa wanageita.
3. Ernest Mabina huyu ni Mbunge wa zaman wa jimbo la Geita ni msomi mzuri,na anahusiswa na kuwa kwenye kitengo maalum ktk serikali,anaweza kutoa ushindani mkubwa kwa wapinzani.
4. Mangilima huyu ni kiongozi ndani ya mgodi wa Geita GGM,ana pesa na anaweza kuwa mtu wa pili kwa ushawishi ndani ya CHADEMA baada ya Rogers ingawaje bado si mtu wa kuaminika kwa siasa za upinzani.
5. Misalaba huyu ni mfanyabiashara mzuri na anajijenga kwa sasa kimtandao elimu yake ni utata kidogo ingawaje anaweza kusimama vizuri.
6. Sikwambi huyu naye amejitosa na ushawishi wake si mkubwa sana.
7. Innocent huyu nae yuko ktk mbio hizo ni msomi wa chuo kikuu na mwanaharakati isipokuwa,hana mke,aoe kwanza ndio aje tumfikirie kumpa madaraka.
8. Vick Kamata huyu ni viti maalum lakini ni ngumu sana kupitishwa na CCM.
9. Jonathan huyu ni Mzee na msomi mzuri lakini itakuwa ngumu sana kuteuliwa na chama chake.
10. Robert Muta huyu nae ana nia ila ni Mhaya wa Bukoba anaetaka jimbo la Geita.