Source: Joblube's wife in her room @ Buguruni Kwa Mnyamani!
Upo mkakati mkubwa wa kuiuwa CHADEMA kabla ya 2015, Pamoja na mbinu za kutumia vyombo vya ulinzi na usalama wanasiasa waliokatika mkakati huo ni Zitto Kabwe,John Shibuda, Joseph Mbatia, Hamadi Rashidi,John Cheyo na Lyatonga Mzee wa Kiraracha.