Hawa ndio wasomi wetu wakuu.....

only83

JF-Expert Member
Oct 15, 2010
5,343
2,525
Hii ni moja ya post za Mwita25 kwenye jukwaa la siasa,amabaye ni degree holder ya fishing toka UDSM......

"Mkinga is attempting to pave her way towards 2015 elections. His vitriol and caustic remarks against CCM are largely fictitious and utterly spurious. His trend has normally been followed by a lot of knavish protagonists who manipulate their platforms just to find their way into politics. So I don't see any genuine willingness inside this loquacious crusader but only a desire to leadership.

Angalia kwenye hayo maneno yaliyowekewa rangi nyekundu,jamaa anazungumzia mwanamke au mwanaume....
 
Mimi ngoja nisiseme sana kuhusiana na haya mambo ya usomi manake sikawaii kuambiwa nawaonea wivu bure.
 
Heee, hivi Mwita kasomea uvuvi? My cousin who never went beyond 4th grade was one great fisherman. He could have taught Mwita 25 a thing or 2 his English gibberish notwithstanding
 
inatokea mtu kukosea mara kwa mara... mi niliwahi kuteleza, nikaandika global warning instead of global warming nikakosolewa tu pale pale, hawakunianzishia thread ya kunisema. kama ni kosa la kutojua angerudia HER kote. lazima anajua ila hakua focused kwenye orthography.
 
Hii ni moja ya post za Mwita25 kwenye jukwaa la siasa,amabaye ni degree holder ya fishing toka UDSM......

"Mkinga is attempting to pave her way towards 2015 elections. His vitriol and caustic remarks against CCM are largely fictitious and utterly spurious. His trend has normally been followed by a lot of knavish protagonists who manipulate their platforms just to find their way into politics. So I don't see any genuine willingness inside this loquacious crusader but only a desire to leadership.

Angalia kwenye hayo maneno yaliyowekewa rangi nyekundu,jamaa anazungumzia mwanamke au mwanaume....

Ungetumia muda wako kutafuta makosa ya mrekwe ungesaidia sana hili taifa. Huyo Rais wako mwenyewe aliwahi kusema 'ladies and gentlemen, welcome to the dancing floor'. Hii ilitokea June 2008 pale AICC kwenye mkutano wa Sullivan.
 
Hivi Kujua Kiingereza ndio Usomi au uwezo wa kufikiri? Acheni Upumbavu. Huu ndio ujinga wa Watanzania walo wengi. Utasemaje kuhusu wachina, warusi, wajapani, na wengineo wasiotumia kiingezera. Basi kwa mantiki hiyo ukizaliwa uingereza au marekani, Australia huna haja ya kwenda shule manake si unweza kuongea kiingereza hata kama hujui kuandika lugha yenyewe.
 
Aagh! Mijitu inaandika kiswahili kibovu humu kama mizungu lakini haianzishwi thread kukosoa lakini hiyo typing error kidogo kwenye lugha ya kigeni ndio tuamini kwamba jamaa degree yake fake... hapana hizo ni fikra tegemezi...
 
Heee, hivi Mwita kasomea uvuvi? My cousin who never went beyond 4th grade was one great fisherman. He could have taught Mwita 25 a thing or 2 his English gibberish notwithstanding

Sasa na wewe umeandika nini hapo?
 
Hivi Kujua Kiingereza ndio Usomi au uwezo wa kufikiri? Acheni Upumbavu. Huu ndio ujinga wa Watanzania walo wengi. Utasemaje kuhusu wachina, warusi, wajapani, na wengineo wasiotumia kiingezera. Basi kwa mantiki hiyo ukizaliwa uingereza au marekani, Australia huna haja ya kwenda shule manake si unweza kuongea kiingereza hata kama hujui kuandika lugha yenyewe.

Mkuu huyu jamaa aliwai jitapa hapa JF kuwa ana GPA ya 4 kwenye cheti chake cha bachelor na anajua kiingereza kuliko ma-pro wa CHADEMA,sasa Mungu amfichi mnafiki,ona sasa....
 
Aagh! Mijitu inaandika kiswahili kibovu humu kama mizungu lakini haianzishwi thread kukosoa lakini hiyo typing error kidogo kwenye lugha ya kigeni ndio tuamini kwamba jamaa degree yake fake... hapana hizo ni fikra tegemezi...

Mkuu hii sio typing error acha kutetea uharo......hii ni kutojua wapi itumike his au her na kwa wakati gani na kitu gani.....
 

Mkuu huyu jamaa aliwai jitapa hapa JF kuwa ana GPA ya 4 kwenye cheti chake cha bachelor na anajua kiingereza kuliko ma-pro wa CHADEMA,sasa Mungu amfichi mnafiki,ona sasa....

Inawezekana unacheza ngoma usiyoijua.
 
Mtoa hoja nadahani unataka kutupotosha ,kisa Mwita 25 amekuwa akishambuliwa na wewe basi unatafuta umaarufu kwa kumshambulia kwa hoja zisizo na msingi.Huo usomi unaotaka kutuambia hapa ni upi? Kwa hiyo Baadhi ya Ma Dr na Ma prof wa vyuo vikuu ambao hawajui kingereza vyea kama waingreza wao sio wasomi!?
Uwe unatafakari unachokileta kwenye jukwaa sio kuwa kujenga hoja kwa msukumo wa kiitikadi.
Pia unaonyesha wewe ulivyo mvivu wa kufikiri na kuoanisha hoja ,umeshasema yy ana degree ya fishing -ulitakiwa upime usomi wake kwenye field yake ya fishing,sio kwa makosa ya kiuandishi wa lugha.
 
Hii ni moja ya post za Mwita25 kwenye jukwaa la siasa,amabaye ni degree holder ya fishing toka UDSM......

"Mkinga is attempting to pave her way towards 2015 elections. His vitriol and caustic remarks against CCM are largely fictitious and utterly spurious. His trend has normally been followed by a lot of knavish protagonists who manipulate their platforms just to find their way into politics. So I don't see any genuine willingness inside this loquacious crusader but only a desire to leadership.

Angalia kwenye hayo maneno yaliyowekewa rangi nyekundu,jamaa anazungumzia mwanamke au mwanaume....

Kwa taarifa yako mimi namiliki Diploma in Clinical Medicine niliyoipata Mafinga COTC 2000-2002. Kazini natambulika kama Clinical Officer aka Afisa Tabibu. Hiyo degree yako ya Fishing gawaneni na Nape! Mimi siitambui
 
Jamani lets be honest, hata wasomi kiasi gani huwa wanakosea kwenye uandishi wao wa awali na nido maana kunakuwa na proof-reading na wakati mwingine hata kupatia watu wengine kupitia na kuona makosa kama haya........unaweza kuona makosa madogo kwa nini hajayaona lakini ukweli makosa madogo huwa ndiyo hayaonekani zaidi

All in all, nakakubali kanglishi ka mkuu Mwita25 maana duuuuhh!! inabidi nikatafute kadikshenari kangu kuongeza msamiati mpya.....mwe ananikumbushaga sana enzi zile za Sekretari Maimuna na ".....anaongea kiingereza kigumu".....
 
Kwa taarifa yako mimi namiliki Diploma in Clinical Medicine niliyoipata Mafinga COTC 2000-2002. Kazini natambulika kama Clinical Officer aka Afisa Tabibu. Hiyo degree yako ya Fishing gawaneni na Nape! Mimi siitambui
Umeulizwa? Halafu wewe jamaa ni mshamba sana! Kuna siku ulikuwa unajitapa eti una Harrier lako unataka kwenda nalo Arusha from Dom! Kuendesha Harrier ni ujanja?
Arusha yenyewe ulikuwa hata huijui..afadhali uliadmit mwenyewe!
 
Hivi Kujua Kiingereza ndio Usomi au uwezo wa kufikiri? Acheni Upumbavu. Huu ndio ujinga wa Watanzania walo wengi. Utasemaje kuhusu wachina, warusi, wajapani, na wengineo wasiotumia kiingezera. Basi kwa mantiki hiyo ukizaliwa uingereza au marekani, Australia huna haja ya kwenda shule manake si unweza kuongea kiingereza hata kama hujui kuandika lugha yenyewe.

Tatizo ni kwamba vyote viwili vinatumia akili!
 
Jamani lets be honest, hata wasomi kiasi gani huwa wanakosea kwenye uandishi wao wa awali na nido maana kunakuwa na proof-reading na wakati mwingine hata kupatia watu wengine kupitia na kuona makosa kama haya........unaweza kuona makosa madogo kwa nini hajayaona lakini ukweli makosa madogo huwa ndiyo hayaonekani zaidi

All in all, nakakubali kanglishi ka mkuu Mwita25 maana duuuuhh!! inabidi nikatafute kadikshenari kangu kuongeza msamiati mpya.....mwe ananikumbushaga sana enzi zile za Sekretari Maimuna na ".....anaongea kiingereza kigumu".....

red and bolded: Kweli sasa naamini 'waacheni wafu wazikane wenyewe kwa wenyewe", khaaa!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom