Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Vita ya kula na KURA
CCM for Christian & Muslim for CCM. simple & clear.Nikiangalia hii orodha naona karibia wote ni wa upande mmoja.
Waislam ndio wanaoongoza kwa kuendekeza udini nchini. Mfano, Ramadhan Dau wa NSSF, Idrissa Kikula wa UDOM, etc.
Wajumbe wa NEC:
- Wassira Stephen - 2,135
- January Makamba - 2,093
- Mwigulu Nchemba - 1,967
- Shigela Martin - 1,824
- Lukuvi William - 1,805
- Membe Bernard - 1,455
- Mathayo David - 1,414
- Msome Jackson - 1,207
- Mukama Wilson - 1,174
- Mukangara Fenella - 984
PM, maneno haya ni yako kweli? Hayo majembe uliyotaja ni kwa ajili ya kuongoza nchi au hilo chama lao la rushwa?niweke sawa kidogo mkuu.Membe ana pesa nyingi sana zadi ya dola 100 milioni....kwa ajili ya uchaguzi...,
Ridhiwani Kikwete - kampeni meneja
Salma Kikwete - mhamasishaji mkuu
Lazaro Nyalandu- mmoja wa waratibu...
Kwenye uchaguzi huu...Membe ametumia nguvu kubwa sana....,lakini ni wazi kuwa nchi hii haiwezi kuongozwa na mtu wa hovyo na asiyeaminika ..,mwenye chuki binafsi kama membe.....hatujaishiwa watu namna hiyo hadi kuongozwa na Vinyago vya Mpapure......wakati majembe yanaonekana ..kama Magufuli,Mwakyembe,Lowassa,Salim ,Dr Mahiga...etc ..
Uchaguzi huu wa NEC membe kabebwa na rungu la mwenyekiti....kwani hata Fenella Mukandara alikuwa amemzidi kura ....[secret]
Lah! Watu wengine mna vituko kweli!Lyatonga Mrema yeye hajashinda?
Inaonekana wewe ni mfuasi sugu wa Membe. Subiri uone moto mkali atakaowawashia Lowassa 2015. Membe hana ubavu wa kupambana na Lowassa.
PM, maneno haya ni yako kweli? Hayo majembe uliyotaja ni kwa ajili ya kuongoza nchi au hilo chama lao la rushwa?niweke sawa kidogo mkuu.
CCM iliwatumia Waislam kama condom 2010 ili kujipatia kura zao na sasa imewageuka. Inawakaanga. Je Waislam watakimbilia wapi, CUF?Nikiangalia hii orodha naona karibia wote ni wa upande mmoja.
Haumfahamu Mukama. Ni mmoja kati ya wachache sana ndani ya CCM ambaye hahongi, hanunui kura, hana maswahiba wala kundi lolote. Kura hizi ni zake halali kabisa. Waadilifu nchi wanachaguliwa kwa taabu sana kwa tulio wengi tumeoza sana.CCM imegeuka kuwa chama cha ajabu sana; Yani Katibu Mkuu wa Chama aliyepo madarakani anaponea chupuchupu kwa kushika nafasi ya tisa kwa idadi ya kura, kati ya jumla ya idadi inayotakiwa ya watu kumi???? Mambo kama haya hayajawahi kutokea; Ina maana huyu Katibu Mkuu alikuwa anafanyeje kazi na viongozi waliomshinda kura ambao technically ni junior kwake kicheo ndani ya chama, hasa yeye akiwa ndio mtendaji mkuu - Kina nchemba, Makamba, Shigela? Hii inatoa ishara gani kuhusu nani ndio alikuwa anakiendesha chama, na nani atakiendesha chama kuelekewa 2015 na kwwa malengo yepi? Kwa kweli matokeo haya yametoa picha very interesting kuhusu jinsi gani chama hiki hakitaisha na migogoro;
Vinginevyo naona majina mawili tu ambayo yatajenga, mengine yatabomoa tu zaidi;
CCM imegeuka kuwa chama cha ajabu sana; Yani Katibu Mkuu wa Chama aliyepo madarakani anaponea chupuchupu kwa kushika nafasi ya tisa kwa idadi ya kura, kati ya jumla ya idadi inayotakiwa ya watu kumi???? Mambo kama haya hayajawahi kutokea; Ina maana huyu Katibu Mkuu alikuwa anafanyeje kazi na viongozi waliomshinda kura ambao technically ni junior kwake kicheo ndani ya chama, hasa yeye akiwa ndio mtendaji mkuu - Kina nchemba, Makamba, Shigela? Hii inatoa ishara gani kuhusu nani ndio alikuwa anakiendesha chama, na nani atakiendesha chama kuelekewa 2015 na kwwa malengo yepi? Kwa kweli matokeo haya yametoa picha very interesting kuhusu jinsi gani chama hiki hakitaisha na migogoro;
Vinginevyo naona majina mawili tu ambayo yatajenga, mengine yatabomoa tu zaidi;
Unajadili jambo kwa jicho la chongo. Upande wa pili unajifanya huoni! Je hukumuona Lazaro Nyalandu wakati anazunguka na mabilioni ya Membe kuhonga wajumbe wilayani?!!! Kwa ufupi maelezo yako yapo biased sana. Kwa nini hutaki kukubali kwamba Lowassa kawafunga JK na Membe bao la kisigino?.First things first. Tunajadili uchaguzi wa NEC ambao watu waliwekeza mabilioni kumkwamisha Membe na matokeo yake ni aibu. Viapo vyote vimewatokea puani wasijue kwamba uchaguzi ni sayansi ambayo watu wana taaluma nayo. Hizo speculation zako kuhusu 2015 hazina nafasi hapa maana msingi wa kudhani Lowassa atashinda ni fedha zake na hongo anazozifanya. Kama mnadai 90% ya wajumbe ni wafuasi wake aliowapata kwa fedha zake, ilikuwa wengi wamchague Membe? Hapo ujue Lowassa hana hati miliki kwa wana CCM hawa na watu watawatumia hao hao kushinda chaguzi mbele ya safari. Leo ni siku ya huzuni sana kwa makoloni ya fedha! Pigo moja, pigo kubwa, pigo takatifu kwa waumini wa fedha chafu.