NISUALAMUDATU
Member
- Aug 10, 2019
- 37
- 23
Umenena mkuu
Hawa vijana waliopewa madaraka kuendelea kuwepo ndio utagundua nini maana halisi ya neno kutoka kwa mzee Makamba na Kinana.
Hawakukurupuka wale!
Sipendi kuamini sana kwamba huo wizi ndio kigezo pekee cha walio madarakani kuendelea kuwepo madarakani.Pole, kwa taarifa yako huo wizi sihadithiwi na kiongozi yoyote bali nimejionea kwa macho yangu na ukatili juu. Sasa hivi mpaka wakurugenzi nao wamegeuzwa kushiriki hizo hujuma kwa kufunga ofisi wakati wapinzani wanarejeshewa fomu. Haya sio siri bali yako wazi peupe.
Maandiko yanasema "... na wala msiwape mbwa chakula cha watoto ili wasije wakawageuka wakawararua..."Hawa ndio wasaidizi wa rais
Na Thadei Ole Mushi.
Picha ya Kwanza ni mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mh Paul Makonda akili yake na Nguvu zake zote kwa sasa ameziwekeza kwenye kuhakikisha wanaume wa Dar wanasajili ndoa zao. Kwake hili ni kipaumbele kuliko.
1. Kuumiza kichwa ni namna gani atalifanya Jiji la Daresalam Liongoze kwa Usafi Hata East Africa tu.
2. Kupunguza mlundikano wa machinga pembezoni mwa barabara za maeneo kama Mbagala, Tegeta, Gongolamboto nakwingineko. Hivi siku magari yetu yakifeli breki itakuwaje?, lakini kama haitoshi, utakuta vyungu vya chips vinachemka katikati ya dimbwi la watu katika maeneo haya......
3. Kuliko kutengeneza fursa za vijana kujiajiri, jiji la Dar es salaam ni jiji la kimkakati ambalo lina kila kitu katika kuongeza ajira kilichokosekana ni mipango tu.
4. Kuliko kupandisha Ufaulu wa Shule za Mkoa huu na kushika hata nafasi ya kwanza ni nini hakipo Dar cha kuwezesha taaluma kupanda?
5. Kuliko kuendelea kubuni mbinu na mikakati ya kupunguza Msongamano wa magari jiji la Dar.
6. Ni makampuni mangapi ya njee aliyowahi kufanya nayo mazungumzo kuja kuangalia Fursa Dar na kuwekeza?
Matatizo ya Dar ni mengi mno ila Mkuu wa Mkoa kaona hili la Vyeti vya Ndoa ndio la msingi kuliko vyote. Hizi ndizo akili zinazomzunguka Rais wetu John Pombe Magufuli.
Unamwona huyo aliyebeba gunia la kahawa hapo? Huyo ni Waziri wa Viwanda na Biashara. Hii ndio kazi yake ya kwanza anayoitambulisha kwa jamii toka ateuliwe. Anaitwa Innocent Bushungwa.
Nimejiuliza huyu waziri hii ndio kazi aliyotakiwa kuifanya ya kwenda kuwa kibega wa Magunia ya kahawa? Kwa nini hawajifunzi toka kwa watangulizi wao waliotumbuliwa?
Ni mabadiliko gani ameyafanya toka aingie hapo wizarani? Ameshakutana kwa vikao Mara ngapi na wizara ya Kilimo kwa ajili ya kutatua tatizo la Pamba ambayo Ipo kwenye Maghala hadi sasa? Ameshawaza nini kuhusu Korosho itakayovunwa Mwakani? Ameshafanya presentation ya Miradi mingapi kuhusu kujenga viwanda vipya vitakavyomgusa mkulima moja kwa moja? Kwa style hii ya kubeba Magunia Kweli Tutaweza kuwapita Kenya kwa viwanda na biashara? Hii itakuwa ni ndoto ya mchana.
Hawa ndio wasaidizi wa Rais...
Picha ya Tatu ni Juma Aweso akiwa anachochea baiskeli yenye madumu ya maji. Picha hii sitaizungumzia kwa Leo kwa maana kwa kuendesha tu baiskeli maji yanatiririka kila mahali nchini.....
Badala ya kuwaza kuendesha baiskeli yenye madumu KM kibao kufuata maji angeliwaza maji kuwafuata watu majumbani kwao. Anachekelea kuendesha Baiskeli kutafuta maji kwake hii Si Kero na ni kitu cha kuenzi...... Tafiti ya mwisho ya Twaweza kuhusu upatikanaji wa maji umebainisha kuwa asilimia 57 ya wa Tanzania hufuata maji njee ya KM 3 toka anapoishi hadi kwenye Maji. Na Tanzania ndio inayoongoza kwa kuwa na vyanzo Vingi vya maji East Africa......
Hawa wote ni vijana, si Hawa tu wapo wengi wa style hii plus hao wanaotaka kudunga watu sindano za Ukichaa. Najiuliza hivi kwa nini hatuwazi vitu vikubwa? Unajaribu mambo makubwa ukishindwa unasaidiwa? Hakuna ubunifu wowote unaonyeshwa na Hawa vijana.
Wakati watu wakiendelea Kumshangaa Makonda hebu chunguzeni na hao wengine nini wanakifanya? Wana mipango, wana mikakati, wanajua shida za Wanaowaongoza?
Naamini Bado kuna akili nyingi za Rais zipo mtaani zinapaswa kusogezwa kwenye timu yake....
Ole Mushi
0712702602
View attachment 1180431View attachment 1180433View attachment 1180434
Sipendi kuamini sana kwamba huo wizi ndio kigezo pekee cha walio madarakani kuendelea kuwepo madarakani.
Naamini katika substance ya waliopo madarakani, wanatimiza kile kilichoandikwa kwenye ilani?. Kama wanatimiza na kuwa karibu na wananchi basi huo ndio wizi wenyewe wa kisayansi.
Kuna yanayoandikwa humu jukwaani na kuna uhalisia wa huko mikoani na vijijini.
Sipendi kuamini sana kwamba huo wizi ndio kigezo pekee cha walio madarakani kuendelea kuwepo madarakani.
Naamini katika substance ya waliopo madarakani, wanatimiza kile kilichoandikwa kwenye ilani?. Kama wanatimiza na kuwa karibu na wananchi basi huo ndio wizi wenyewe wa kisayansi.
Kuna yanayoandikwa humu jukwaani na kuna uhalisia wa huko mikoani na vijijini.
Mkuu, unatafuta picha za hao waheshimiwa halafu unaandika uzi!. Kazi nyepesi sana hiyo.
Unajuaje kama hayo unayotaka wayafikirie kama kwa sasa hayapo katika mikakati yao ya kikazi?.
Au labda ulitaka kila wakifanya jambo fulani wakutafute na kukueleza?. Kuandika uzi humu jukwaani ni kazi nyepesi, kuvaa viatu vya hao viongozi sio kazi nyepesi.
Umemsahau Yule Walu Walu RC wa Mbeya
Morons!!!!
Mkakati wa Bashite una uhusiano gani na huu uzi?.Praise Team and worship upo kwa hiyo huo mkakati wa huyo Bashite una msaada gani kwa nchi?
Mkakati wa Bashite una uhusiano gani na huu uzi?.
Mlikuwa mnaita buku saba siku hizi praise team kesho mtakuja na jina jingine. Mnazidi kunyooka.
Punmba kweli hili jamaaHawa ndio wasaidizi wa rais
Na Thadei Ole Mushi.
Picha ya Kwanza ni mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mh Paul Makonda akili yake na Nguvu zake zote kwa sasa ameziwekeza kwenye kuhakikisha wanaume wa Dar wanasajili ndoa zao. Kwake hili ni kipaumbele kuliko.
1. Kuumiza kichwa ni namna gani atalifanya Jiji la Daresalam Liongoze kwa Usafi Hata East Africa tu.
2. Kupunguza mlundikano wa machinga pembezoni mwa barabara za maeneo kama Mbagala, Tegeta, Gongolamboto nakwingineko. Hivi siku magari yetu yakifeli breki itakuwaje?, lakini kama haitoshi, utakuta vyungu vya chips vinachemka katikati ya dimbwi la watu katika maeneo haya......
3. Kuliko kutengeneza fursa za vijana kujiajiri, jiji la Dar es salaam ni jiji la kimkakati ambalo lina kila kitu katika kuongeza ajira kilichokosekana ni mipango tu.
4. Kuliko kupandisha Ufaulu wa Shule za Mkoa huu na kushika hata nafasi ya kwanza ni nini hakipo Dar cha kuwezesha taaluma kupanda?
5. Kuliko kuendelea kubuni mbinu na mikakati ya kupunguza Msongamano wa magari jiji la Dar.
6. Ni makampuni mangapi ya njee aliyowahi kufanya nayo mazungumzo kuja kuangalia Fursa Dar na kuwekeza?
Matatizo ya Dar ni mengi mno ila Mkuu wa Mkoa kaona hili la Vyeti vya Ndoa ndio la msingi kuliko vyote. Hizi ndizo akili zinazomzunguka Rais wetu John Pombe Magufuli.
Unamwona huyo aliyebeba gunia la kahawa hapo? Huyo ni Waziri wa Viwanda na Biashara. Hii ndio kazi yake ya kwanza anayoitambulisha kwa jamii toka ateuliwe. Anaitwa Innocent Bushungwa.
Nimejiuliza huyu waziri hii ndio kazi aliyotakiwa kuifanya ya kwenda kuwa kibega wa Magunia ya kahawa? Kwa nini hawajifunzi toka kwa watangulizi wao waliotumbuliwa?
Ni mabadiliko gani ameyafanya toka aingie hapo wizarani? Ameshakutana kwa vikao Mara ngapi na wizara ya Kilimo kwa ajili ya kutatua tatizo la Pamba ambayo Ipo kwenye Maghala hadi sasa? Ameshawaza nini kuhusu Korosho itakayovunwa Mwakani? Ameshafanya presentation ya Miradi mingapi kuhusu kujenga viwanda vipya vitakavyomgusa mkulima moja kwa moja? Kwa style hii ya kubeba Magunia Kweli Tutaweza kuwapita Kenya kwa viwanda na biashara? Hii itakuwa ni ndoto ya mchana.
Hawa ndio wasaidizi wa Rais...
Picha ya Tatu ni Juma Aweso akiwa anachochea baiskeli yenye madumu ya maji. Picha hii sitaizungumzia kwa Leo kwa maana kwa kuendesha tu baiskeli maji yanatiririka kila mahali nchini.....
Badala ya kuwaza kuendesha baiskeli yenye madumu KM kibao kufuata maji angeliwaza maji kuwafuata watu majumbani kwao. Anachekelea kuendesha Baiskeli kutafuta maji kwake hii Si Kero na ni kitu cha kuenzi...... Tafiti ya mwisho ya Twaweza kuhusu upatikanaji wa maji umebainisha kuwa asilimia 57 ya wa Tanzania hufuata maji njee ya KM 3 toka anapoishi hadi kwenye Maji. Na Tanzania ndio inayoongoza kwa kuwa na vyanzo Vingi vya maji East Africa......
Hawa wote ni vijana, si Hawa tu wapo wengi wa style hii plus hao wanaotaka kudunga watu sindano za Ukichaa. Najiuliza hivi kwa nini hatuwazi vitu vikubwa? Unajaribu mambo makubwa ukishindwa unasaidiwa? Hakuna ubunifu wowote unaonyeshwa na Hawa vijana.
Wakati watu wakiendelea Kumshangaa Makonda hebu chunguzeni na hao wengine nini wanakifanya? Wana mipango, wana mikakati, wanajua shida za Wanaowaongoza?
Naamini Bado kuna akili nyingi za Rais zipo mtaani zinapaswa kusogezwa kwenye timu yake....
Ole Mushi
0712702602
View attachment 1180431View attachment 1180433View attachment 1180434
Unfortunately Remote, in sembulance to your name, you are remotely used. Review your title and thrash.Hawa ndio wasaidizi wa rais
Na Thadei Ole Mushi.
Picha ya Kwanza ni mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mh Paul Makonda akili yake na Nguvu zake zote kwa sasa ameziwekeza kwenye kuhakikisha wanaume wa Dar wanasajili ndoa zao. Kwake hili ni kipaumbele kuliko.
1. Kuumiza kichwa ni namna gani atalifanya Jiji la Daresalam Liongoze kwa Usafi Hata East Africa tu.
2. Kupunguza mlundikano wa machinga pembezoni mwa barabara za maeneo kama Mbagala, Tegeta, Gongolamboto nakwingineko. Hivi siku magari yetu yakifeli breki itakuwaje?, lakini kama haitoshi, utakuta vyungu vya chips vinachemka katikati ya dimbwi la watu katika maeneo haya......
3. Kuliko kutengeneza fursa za vijana kujiajiri, jiji la Dar es salaam ni jiji la kimkakati ambalo lina kila kitu katika kuongeza ajira kilichokosekana ni mipango tu.
4. Kuliko kupandisha Ufaulu wa Shule za Mkoa huu na kushika hata nafasi ya kwanza ni nini hakipo Dar cha kuwezesha taaluma kupanda?
5. Kuliko kuendelea kubuni mbinu na mikakati ya kupunguza Msongamano wa magari jiji la Dar.
6. Ni makampuni mangapi ya njee aliyowahi kufanya nayo mazungumzo kuja kuangalia Fursa Dar na kuwekeza?
Matatizo ya Dar ni mengi mno ila Mkuu wa Mkoa kaona hili la Vyeti vya Ndoa ndio la msingi kuliko vyote. Hizi ndizo akili zinazomzunguka Rais wetu John Pombe Magufuli.
Unamwona huyo aliyebeba gunia la kahawa hapo? Huyo ni Waziri wa Viwanda na Biashara. Hii ndio kazi yake ya kwanza anayoitambulisha kwa jamii toka ateuliwe. Anaitwa Innocent Bushungwa.
Nimejiuliza huyu waziri hii ndio kazi aliyotakiwa kuifanya ya kwenda kuwa kibega wa Magunia ya kahawa? Kwa nini hawajifunzi toka kwa watangulizi wao waliotumbuliwa?
Ni mabadiliko gani ameyafanya toka aingie hapo wizarani? Ameshakutana kwa vikao Mara ngapi na wizara ya Kilimo kwa ajili ya kutatua tatizo la Pamba ambayo Ipo kwenye Maghala hadi sasa? Ameshawaza nini kuhusu Korosho itakayovunwa Mwakani? Ameshafanya presentation ya Miradi mingapi kuhusu kujenga viwanda vipya vitakavyomgusa mkulima moja kwa moja? Kwa style hii ya kubeba Magunia Kweli Tutaweza kuwapita Kenya kwa viwanda na biashara? Hii itakuwa ni ndoto ya mchana.
Hawa ndio wasaidizi wa Rais...
Picha ya Tatu ni Juma Aweso akiwa anachochea baiskeli yenye madumu ya maji. Picha hii sitaizungumzia kwa Leo kwa maana kwa kuendesha tu baiskeli maji yanatiririka kila mahali nchini.....
Badala ya kuwaza kuendesha baiskeli yenye madumu KM kibao kufuata maji angeliwaza maji kuwafuata watu majumbani kwao. Anachekelea kuendesha Baiskeli kutafuta maji kwake hii Si Kero na ni kitu cha kuenzi...... Tafiti ya mwisho ya Twaweza kuhusu upatikanaji wa maji umebainisha kuwa asilimia 57 ya wa Tanzania hufuata maji njee ya KM 3 toka anapoishi hadi kwenye Maji. Na Tanzania ndio inayoongoza kwa kuwa na vyanzo Vingi vya maji East Africa......
Hawa wote ni vijana, si Hawa tu wapo wengi wa style hii plus hao wanaotaka kudunga watu sindano za Ukichaa. Najiuliza hivi kwa nini hatuwazi vitu vikubwa? Unajaribu mambo makubwa ukishindwa unasaidiwa? Hakuna ubunifu wowote unaonyeshwa na Hawa vijana.
Wakati watu wakiendelea Kumshangaa Makonda hebu chunguzeni na hao wengine nini wanakifanya? Wana mipango, wana mikakati, wanajua shida za Wanaowaongoza?
Naamini Bado kuna akili nyingi za Rais zipo mtaani zinapaswa kusogezwa kwenye timu yake....
Ole Mushi
0712702602
View attachment 1180431View attachment 1180433View attachment 1180434
Hayo mambo ya buku tatu na buku saba huoni kama ni utoto fulani?. Nategemea wewe mpaka umejiunga humu tayari umeshafikia umri wa kupiga kura. Stop being silly.Vyovyote lakini jua wewe ndio huyo huyo praise team worship na buku 3 siku hizi sio 7 tena naona mpk kwenu uchumii umebana
Kwa mtazamo wangu unatetea vitu vya kijinga, ambavyo vinakufanya nawe kuonekana mjinga... Ushawahi ona mtu anaongea ujinga mpaka wa pembeni yake ndio anaona aibu!!?Ungewajua wanasiasa wa dunia nzima walivyo usingeandika mapovu uliyoyaandika.
Kumbuka hapo ni jimboni kwake, hao waliopembeni wanaomuangalia ni wapiga kura wake.
Yule mbunge marehemu wa Njombe aliyekuwa rafiki wa Zitto Kabwe jimboni mwake alikuwa akishiriki kwa vitendo ujenzi wa zahanati na shule za sekondari.
Huyu mleta mada kajawa na upingaji wa kila kitu akashindwa kuutazama ujumbe mwingine wa hiyo picha ya huyo mbunge wa karagwe akiwa na wananchi wake.
Unaweza kudhani mimi mjinga kumbe wewe ukawa ndio mjinga mwenye kustahili kuonewa huruma.Kwa mtazamo wangu unatetea vitu vya kijinga, ambavyo vinakufanya nawe kuonekana mjinga... Ushawahi ona mtu anaongea ujinga mpaka wa pembeni yake ndio anaona aibu!!?
Mkuu, you have nailed it. Tatizo kubwa wamepewa majukumu makubwa pengine zaidi ya uwezo wao wa kawaida kuweza kuyamudu vyema, kwa hawajui wapi pa kuanzia, wapi pa kupaendeleza, wapi pa kurekebisha na wala pia wapi pa kufanyia "drop decision" Enzi zile waliitwa mizigo.Hawa ndio wasaidizi wa rais
Na Thadei Ole Mushi.
Picha ya Kwanza ni mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mh Paul Makonda akili yake na Nguvu zake zote kwa sasa ameziwekeza kwenye kuhakikisha wanaume wa Dar wanasajili ndoa zao. Kwake hili ni kipaumbele kuliko.
1. Kuumiza kichwa ni namna gani atalifanya Jiji la Daresalam Liongoze kwa Usafi Hata East Africa tu.
2. Kupunguza mlundikano wa machinga pembezoni mwa barabara za maeneo kama Mbagala, Tegeta, Gongolamboto nakwingineko. Hivi siku magari yetu yakifeli breki itakuwaje?, lakini kama haitoshi, utakuta vyungu vya chips vinachemka katikati ya dimbwi la watu katika maeneo haya......
3. Kuliko kutengeneza fursa za vijana kujiajiri, jiji la Dar es salaam ni jiji la kimkakati ambalo lina kila kitu katika kuongeza ajira kilichokosekana ni mipango tu.
4. Kuliko kupandisha Ufaulu wa Shule za Mkoa huu na kushika hata nafasi ya kwanza ni nini hakipo Dar cha kuwezesha taaluma kupanda?
5. Kuliko kuendelea kubuni mbinu na mikakati ya kupunguza Msongamano wa magari jiji la Dar.
6. Ni makampuni mangapi ya njee aliyowahi kufanya nayo mazungumzo kuja kuangalia Fursa Dar na kuwekeza?
Matatizo ya Dar ni mengi mno ila Mkuu wa Mkoa kaona hili la Vyeti vya Ndoa ndio la msingi kuliko vyote. Hizi ndizo akili zinazomzunguka Rais wetu John Pombe Magufuli.
Unamwona huyo aliyebeba gunia la kahawa hapo? Huyo ni Waziri wa Viwanda na Biashara. Hii ndio kazi yake ya kwanza anayoitambulisha kwa jamii toka ateuliwe. Anaitwa Innocent Bushungwa.
Nimejiuliza huyu waziri hii ndio kazi aliyotakiwa kuifanya ya kwenda kuwa kibega wa Magunia ya kahawa? Kwa nini hawajifunzi toka kwa watangulizi wao waliotumbuliwa?
Ni mabadiliko gani ameyafanya toka aingie hapo wizarani? Ameshakutana kwa vikao Mara ngapi na wizara ya Kilimo kwa ajili ya kutatua tatizo la Pamba ambayo Ipo kwenye Maghala hadi sasa? Ameshawaza nini kuhusu Korosho itakayovunwa Mwakani? Ameshafanya presentation ya Miradi mingapi kuhusu kujenga viwanda vipya vitakavyomgusa mkulima moja kwa moja? Kwa style hii ya kubeba Magunia Kweli Tutaweza kuwapita Kenya kwa viwanda na biashara? Hii itakuwa ni ndoto ya mchana.
Hawa ndio wasaidizi wa Rais...
Picha ya Tatu ni Juma Aweso akiwa anachochea baiskeli yenye madumu ya maji. Picha hii sitaizungumzia kwa Leo kwa maana kwa kuendesha tu baiskeli maji yanatiririka kila mahali nchini.....
Badala ya kuwaza kuendesha baiskeli yenye madumu KM kibao kufuata maji angeliwaza maji kuwafuata watu majumbani kwao. Anachekelea kuendesha Baiskeli kutafuta maji kwake hii Si Kero na ni kitu cha kuenzi...... Tafiti ya mwisho ya Twaweza kuhusu upatikanaji wa maji umebainisha kuwa asilimia 57 ya wa Tanzania hufuata maji njee ya KM 3 toka anapoishi hadi kwenye Maji. Na Tanzania ndio inayoongoza kwa kuwa na vyanzo Vingi vya maji East Africa......
Hawa wote ni vijana, si Hawa tu wapo wengi wa style hii plus hao wanaotaka kudunga watu sindano za Ukichaa. Najiuliza hivi kwa nini hatuwazi vitu vikubwa? Unajaribu mambo makubwa ukishindwa unasaidiwa? Hakuna ubunifu wowote unaonyeshwa na Hawa vijana.
Wakati watu wakiendelea Kumshangaa Makonda hebu chunguzeni na hao wengine nini wanakifanya? Wana mipango, wana mikakati, wanajua shida za Wanaowaongoza?
Naamini Bado kuna akili nyingi za Rais zipo mtaani zinapaswa kusogezwa kwenye timu yake....
Ole Mushi
0712702602
View attachment 1180431View attachment 1180433View attachment 1180434
Siyo huko tuu mkuu, almost Dar yote ...Hii point namba mbili ni ya kuiangalia kwa makini sana, Kuanzia Tegeta hadi kwenda Bunju kuna s
Msongamano sana wa watu wanaofanya biashara hasa nyakati za usiku pembezoni mwa barabara hasa katika vituo
Malengo ni Cheap politics, na kiwafanya watu Mazwazwa... Kama kiongozi mkubwa kuna wengi ya kufanya ili kuwa karibu na watu. Kiongozi ni dira, lakini unapobeba magumia ili nikuone eti ni mwenzangu kwangu mimi ni Hapana... I am sorry, I don't know what they are selling but I am not buying it...Unaweza kudhani mimi mjinga kumbe wewe ukawa ndio mjinga mwenye kustahili kuonewa huruma.
Huwezi kumhukumu mtu kwa picha ambazo hujui malengo yake ni yapi. Cheap politics.
Huyo anayebeba Magunia hapo ni jimboni kwake na hao ni wananchi wake waliompigia kura. Hakuna kilichoharibika.Malengo ni Cheap politics, na kiwafanya watu Mazwazwa... Kama kiongozi mkubwa kuna wengi ya kufanya ili kuwa karibu na watu. Kiongozi ni dira, lakini unapobeba magumia ili nikuone eti ni mwenzangu kwangu mimi ni Hapana... I am sorry, I don't know what they are selling but I am not buying it...