Hello guys hope mko poa wote kama kuna ambae hayuko poa Mungu awe naye.
Nimeona mijadala mingi sana kwenye mitandao watu wakifanya kampeni ya kutompigia kura diamond platnumz katika tuzo za BET na kujinasibu kuwa watampigia Burnaboy au Wizkid.
Labda kitu ambacho watu wengi hawafahamu ni kuwa ushiriki wa mashabiki katika tuzo hizi haupo kabisa. Kura zote zinapigwa na members of Academy ambao kwa mujibu wa wikipedia hawazidi 500.
Hao members wanapatikana hivi. Watu wa media, bloggers, Tv personalities na wadau wengine wa muziki, wanatumiwa maombi ya ku nominate nani na nani awe kweny category.
Kwa academy members huwa wana apply form kwenye mtandao wa VIACOMCBS ambao ndio wamiliki wa vituo vya BET, MTV na VH1
Huko kweny hiyo form utaulizwa maswali kuhusu pop culture ya duania nzi@ma.Ukisha jibu hayo maswali wao ndio wataku asses kuangalia wale waliojibu maswali kwa usahihi zaidi.
Na hapo ndio utapata confirmation ya kua umekua accepted kua member au kukataliwa.Na hao ndio weny ruhusa ya kupiga kura.
So hao wapiga kelele huko twitter hawatabadili chochote.Wala hawata ongeza chochote.
Unaujua umri wangu dogo au unadanganywa na upya wa ID ukome kabisa yaani tena na heshima, kwa mziki gani anaoimba diamond Kama sio matusi unahisi social media zingekuwepo enzi zetu huyu bwege angefua dafu na mziki wa kile kweliTatzo vjana wa sikuhizi mnajikuta mnaakili sana, kila kitu mnataka kukijua na kutafsiri kwa maana mnazotaka nyie, mbona Muogo wa jang'ombe ilikuwa poa tu....
Jukwaa gani mkú,Mkuu hii id yako ni ya lile jukwaa pendwa uongo
Kama umegundua kitu diamond ana trend twitter kwa leo siku ya pili hii pia inamuongezea crdt.Kumbuka hizi tuzo pia ni biashara na wanataka tuzo zao ziongelewe dunia nzima.Mark my word Diamond atashinda hii tuzo.I am sure on thatSasa mataga na wale wafuasi nguli wa chama mboga mboga waliokuwa wakijinasibu kuwa wao ni wa kumpa zote za ndiyo itakuwaje?
Haiwezi kutokea ukweli lazima usemwe arooooh...Hivi ikatokea Dimond akachukuwa tunzo hivi watanzania mtasema nini aisee na kumuombea vibaya au ndio mtakuwa kama sisiemu yaan wanafiki ghafla au ndio siasa hata kwenye Mziki. Achen bana ana represent nchi mwacheni achukuwe
Hii tuzo hapati tuwekeane helaKama umegundua kitu diamond ana trend twitter kwa leo siku ya pili hii pia inamuongezea crdt.Kumbuka hizi tuzo pia ni biashara na wanataka tuzo zao ziongelewe dunia nzima.Mark my word Diamond atashinda hii tuzo.I am sure on that
Nilitaka kushtuka nilipoona ni ukwerii , nikaona sawa maana Ingekuwa ni ukweli Ingekuwa balaaaHata tusipo piga kura ila tuzo hapati huo ndio ukweriii
Ukweli gani mtu Yupo katika nomination? ahahahahaha mbona mmejaa wivu nyieHaiwezi kutokea ukweli lazima usemwe arooooh...
Una bei gani?Hii tuzo hapati tuwekeane hela
Siyo kweli, nenda Twitter kuna link ya upigaji kura wa miaka iliyopita inasema wazi wanaopiga ni viewers tena waweza kurudia... Kesho nitakuwekea hapa...Hello guys hope mko poa wote kama kuna ambae hayuko poa Mungu awe naye.
Nimeona mijadala mingi sana kwenye mitandao watu wakifanya kampeni ya kutompigia kura diamond platnumz katika tuzo za BET na kujinasibu kuwa watampigia Burnaboy au Wizkid.
Labda kitu ambacho watu wengi hawafahamu ni kuwa ushiriki wa mashabiki katika tuzo hizi haupo kabisa. Kura zote zinapigwa na members of Academy ambao kwa mujibu wa wikipedia hawazidi 500.
Hao members wanapatikana hivi. Watu wa media, bloggers, Tv personalities na wadau wengine wa muziki, wanatumiwa maombi ya ku nominate nani na nani awe kweny category.
Kwa academy members huwa wana apply form kwenye mtandao wa VIACOMCBS ambao ndio wamiliki wa vituo vya BET, MTV na VH1
Huko kweny hiyo form utaulizwa maswali kuhusu pop culture ya duania nzi@ma.Ukisha jibu hayo maswali wao ndio wataku asses kuangalia wale waliojibu maswali kwa usahihi zaidi.
Na hapo ndio utapata confirmation ya kua umekua accepted kua member au kukataliwa.Na hao ndio weny ruhusa ya kupiga kura.
So hao wapiga kelele huko twitter hawatabadili chochote.Wala hawata ongeza chochote.
Me namuweka hata demu wangu rehani 😂😂Una bei gani?