Hawa ndio wanaruhusiwa kupiga kura kwenye tuzo za B.E.T

Naomba nisaidie hapo wanamaamisha nini
20210531_174219.jpg
 
Mpeni sasa tuzo huyo mpumbavu mwenzenu.

Unategemea apendwe na watu anaowatukana majukwaani kila siku...
Kama kuna kupiga kura basi mjue kuna timu ya yule mmakonde mjinga,yule king uchwara wa Kariakoo na sisi wapenda mabadiliko hatutapoteza kura zetu kumpigia huyo dogo.
 
Hello guys hope mko poa wote kama kuna ambae hayuko poa Mungu awe naye.

Nimeona mijadala mingi sana kwenye mitandao watu wakifanya kampeni ya kutompigia kura diamond platnumz katika tuzo za BET na kujinasibu kuwa watampigia Burnaboy au Wizkid.

Labda kitu ambacho watu wengi hawafahamu ni kuwa ushiriki wa mashabiki katika tuzo hizi haupo kabisa. Kura zote zinapigwa na members of Academy ambao kwa mujibu wa wikipedia hawazidi 500.

Hao members wanapatikana hivi. Watu wa media, bloggers, Tv personalities na wadau wengine wa muziki, wanatumiwa maombi ya ku nominate nani na nani awe kweny category.

Kwa academy members huwa wana apply form kwenye mtandao wa VIACOMCBS ambao ndio wamiliki wa vituo vya BET, MTV na VH1

Huko kweny hiyo form utaulizwa maswali kuhusu pop culture ya duania nzi@ma.Ukisha jibu hayo maswali wao ndio wataku asses kuangalia wale waliojibu maswali kwa usahihi zaidi.

Na hapo ndio utapata confirmation ya kua umekua accepted kua member au kukataliwa.Na hao ndio weny ruhusa ya kupiga kura.

So hao wapiga kelele huko twitter hawatabadili chochote.Wala hawata ongeza chochote.

Sasa mataga na wale wafuasi nguli wa chama mboga mboga waliokuwa wakijinasibu kuwa wao ni wa kumpa zote za ndiyo itakuwaje?
 
Tatzo vjana wa sikuhizi mnajikuta mnaakili sana, kila kitu mnataka kukijua na kutafsiri kwa maana mnazotaka nyie, mbona Muogo wa jang'ombe ilikuwa poa tu....
Unaujua umri wangu dogo au unadanganywa na upya wa ID ukome kabisa yaani tena na heshima, kwa mziki gani anaoimba diamond Kama sio matusi unahisi social media zingekuwepo enzi zetu huyu bwege angefua dafu na mziki wa kile kweli
 
Mi sielewi chochote tumeambiwa tu tusimpigie kura dimondi na tugomee kusikiliza nyimbo za zuchu....konde gengi fo everybadi🤸‍♂️🤣🐒
 
Hivi ikatokea Dimond akachukuwa tunzo hivi watanzania mtasema nini aisee na kumuombea vibaya au ndio mtakuwa kama sisiemu yaan wanafiki ghafla au ndio siasa hata kwenye Mziki. Achen bana ana represent nchi mwacheni achukuwe
 
Sasa mataga na wale wafuasi nguli wa chama mboga mboga waliokuwa wakijinasibu kuwa wao ni wa kumpa zote za ndiyo itakuwaje?
Kama umegundua kitu diamond ana trend twitter kwa leo siku ya pili hii pia inamuongezea crdt.Kumbuka hizi tuzo pia ni biashara na wanataka tuzo zao ziongelewe dunia nzima.Mark my word Diamond atashinda hii tuzo.I am sure on that
 
Hivi ikatokea Dimond akachukuwa tunzo hivi watanzania mtasema nini aisee na kumuombea vibaya au ndio mtakuwa kama sisiemu yaan wanafiki ghafla au ndio siasa hata kwenye Mziki. Achen bana ana represent nchi mwacheni achukuwe
Haiwezi kutokea ukweli lazima usemwe arooooh...
 
Kama umegundua kitu diamond ana trend twitter kwa leo siku ya pili hii pia inamuongezea crdt.Kumbuka hizi tuzo pia ni biashara na wanataka tuzo zao ziongelewe dunia nzima.Mark my word Diamond atashinda hii tuzo.I am sure on that
Hii tuzo hapati tuwekeane hela
 
Hello guys hope mko poa wote kama kuna ambae hayuko poa Mungu awe naye.

Nimeona mijadala mingi sana kwenye mitandao watu wakifanya kampeni ya kutompigia kura diamond platnumz katika tuzo za BET na kujinasibu kuwa watampigia Burnaboy au Wizkid.

Labda kitu ambacho watu wengi hawafahamu ni kuwa ushiriki wa mashabiki katika tuzo hizi haupo kabisa. Kura zote zinapigwa na members of Academy ambao kwa mujibu wa wikipedia hawazidi 500.

Hao members wanapatikana hivi. Watu wa media, bloggers, Tv personalities na wadau wengine wa muziki, wanatumiwa maombi ya ku nominate nani na nani awe kweny category.

Kwa academy members huwa wana apply form kwenye mtandao wa VIACOMCBS ambao ndio wamiliki wa vituo vya BET, MTV na VH1

Huko kweny hiyo form utaulizwa maswali kuhusu pop culture ya duania nzi@ma.Ukisha jibu hayo maswali wao ndio wataku asses kuangalia wale waliojibu maswali kwa usahihi zaidi.

Na hapo ndio utapata confirmation ya kua umekua accepted kua member au kukataliwa.Na hao ndio weny ruhusa ya kupiga kura.

So hao wapiga kelele huko twitter hawatabadili chochote.Wala hawata ongeza chochote.
Siyo kweli, nenda Twitter kuna link ya upigaji kura wa miaka iliyopita inasema wazi wanaopiga ni viewers tena waweza kurudia... Kesho nitakuwekea hapa...
 
Back
Top Bottom