😂😂Ni binamu wa Amitha Bachan.
Biashara tu hapa.Huyu Mwana mama anaitwa Juhayna Zaghalulu Ajmy ni Mke wa Joseph Kusaga
Josepg Kusaga - Clouds Media
Juhayna Zaghalulu - Wasafi View attachment 1441945View attachment 1441946
Asubui wamefuta Uzi Wangu Konk Imeniuma sana, lakini poa tu Fresh hamna noma, Wananionea Wivu Nashusha madini mazitoMods wanafutaga nyuzi zako nyingi wanaonaga unaandika upupu tu na hata hii wanaweza kuifuta nahisi
Nani alikudanganya mke wa Kusaga ametoka familia tajiri?Kusaga safi sana... kaishi maisha ya kindoa yenye upendo na furaha toka ujana wake..
Watu wengi wenye uwezo wamelishindwa hili..
Ila siri ya kifanikiwa kwake nahisi ni kufuata principle ya kimjini.
Ukiwa mtoto wa tajiri oa ama olewa na mtoto wa tajiri mwenzako.. hapo hakuna kuchunana wala kuwekeana sumu mtu arithi mali
Wakuu hv diva the boss alisharudi kazin??Nani alikudanganya mke wa Kusaga ametoka familia tajiri?
Wakuu hv diva the boss alisharudi kazin??
Its not over until its over...
Diva ni mmiliki wa Tandahimba FM, lakini haters watabisha.
Vp nyimbo za mtt wa tandale wanazpga au ilikua siku ile tu kisa wanataka mchangoDiva ni mmiliki wa Tandahimba FM, lakini haters watabisha.
Wasafi fm + Kusaga = Clouds Fm + Kusaga + Ruge Mtahaba
Ruge asingekubali hii kitu itokee.
RIP Ruge
Udaku wakati ni kweli!!au hujui?!!pole sanaKwa hiyo mkuu wasafi inamilikiwa na mke wa Joseph kusaga..!, hizi habari za udaku huwa mnazitoa wapi...!?
Kama huna na uhakika na unacho ongea nyamaza au umekosa cha kuandika..!?
Sent using Jamii Forums mobile app