Hawa ndio wamiliki halali wa WASAFI LIMITED

weka unalolijua wewe! Mjinga wewe unaebwabwaja bila facts: Soma hapa kwanza alafu uje na unalolijua TCRA yataja wamiliki wa Wasafi TV, Kusaga hakutajwa – Dar24

weka unalolijua wewe! Mjinga wewe unaebwabwaja bila facts: Soma hapa kwanza alafu uje na unalolijua TCRA yataja wamiliki wa Wasafi TV, Kusaga hakutajwa – Dar24
"hizi ni Kampuni 2 tofauti na zinamilikiwa na watu tofauti"

Unajikanyaga mwenyewe na maneno yako.

Hiyo link uliyo iweka,kichwa cha habari kinasema mmiliki au Wamiliki wa Wasafi Media...........
 
Hii document yawezekana imefanyiwa edit. Wasafi ni mali ya kusaga kwanini naandika hivi.

Miezi 6 nyuma wasafi wamenunua ardhi Mbezi beach ili wajenge headqiarter yao. million 700. Sadala na yeye kageuka dalali alitakiwa awape madalali 6 mil 20 yeye kawapa mil 3 nyingine kazisunda. Madalali wakimfuata anatuma mabaunsa. Sadala nae anatumwa tuu sema ni business partner.
 
Hii document yawezekana imefanyiwa edit. Wasafi ni mali ya kusaga kwanini naandika hivi.

Miezi 6 nyuma wasafi wamenunua ardhi Mbezi beach ili wajenge headqiarter yao. million 700. Sadala na yeye kageuka dalali alitakiwa awape madalali 6 mil 20 yeye kawapa mil 3 nyingine kazisunda. Madalali wakimfuata anatuma mabaunsa. Sadala nae anatumwa tuu sema ni business partner.
Sasa Sadala aweke nini umuamini, halafu hujalazimishwa kuamini,kwani hata husipo amini hubadilishi kitu.
 
Back
Top Bottom